Mi kunakitu kilintokea hapo juzi usiku,natumia sumsung nlishangaa sana nlikua nikiweka sim kweny charger naona kama kuna mtu ana login kweny sim yangu anafungua ma file mbali mbali na kuingiza baadhi ya vitu yaan kama mtu ka login kweny pc kwa remot login
Ilinipa shida sana usiku mzima...
Wadau kwa heshma na taadhima naombeni ushauri kuhusu biasha ya sim.
1.Nina mtaji wa 25,000,000 baada ya kulipia frem je naweza anza biashara ya kuuza sim reja reja na jumla?
2.Nini changamoto za biashara ya sim?
3.Wapi naweza pata mzigo kwa bei nzuri ili niweze pata faida?
4.kodi yake ya...
Wadau kwa heshima na taadhima naomba kwa mwenye kufaham mashine nzuri na yakisasa ya kukoboa mpunga naomba anipe taarif hizo hapa kwa kuzingatia yafuatayo.
1.Gharama za mashine husika
2.Ubora wa mashine
3.Upatikanaji wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.