Msaada jinsi ya kusave mauzo ya kila siku katika duka

punjabu

Member
Aug 7, 2013
89
65
habari wakuu, nina duka langu nimenunua kutoka kwa mtu, huyo mtu aliniuzia kwa kuwa yeye, alishindwa kuliendesha kwa kuwa mauzo yote aliyokuwa anapata alikuwa anatumia kwenye ujenzi wa nyumba yake na pia alipata kazi ya kuajiriwa. hilo duka ni la bidhaa mchanganyiko yaani vocha, nafaka kama mchele, unga na maharage, pia kuna vinywaji, mfano juice, soda, maji. vitu ambavyo vinatoka sana ni nafaka, vocha na vinywaji. ila duka lenyewe kwa sasa bado kuna shelves ziko wazi yaani bado halijajaa. shida ni kwamba hela yote ya mauzo ya siku husika inaishia kwenye manunuzi ya vitu vya kuuza siku inayofuatia, yaani mimi kama kubakiwa na hela, naweza nikabakiwa na 5000 au 10000 au nisibakiwe na hela kabisa. naomba msaada ni jinsi gani naweza nikasave kwenye mauzo ya kila siku. yaani kila siku niweze kusave hela kidogo na niweze kuongeza vitu ambavyo vinahitajika dukani. dukani nauza mwenyewe.
 
Kaka biashara ya duka kwa mwanzo nitakushauri lijaze kwa vitu vya muhimu kwanza huku ukichomoa faida kidogo kidogo. Mfano Wa hiyo 5000 unaweza save 2500 kwa siku nyingine ukala duka likikukua na ukawa na mauzo makubwa unaweza kuwa unachomoa hata asilimia 20 ya mauzo na kusave. Usiwe na parapara ya kusave hela ndefu kwanza. Seriously hii biashara inalipa sana tRNA maduka ya uswahilini maana faida kidogo lakini sababu ya mzunguko mkubwa unajikuta mwisho Wa siku unafaida kubwa zaid ya mwenda China. Mfano tambi utanunua letsay 1000 au 1200 lakin utauza 1500 sukari kiroba cha kg25 kuna sehemu kinauza 48000 kwa kimojamoja lakini sehemu kama kijichi utauza kwa kilo 2400 faida karibia 400 nzima . siri ya hii biashara penda kununua jumlajumla kama ni chili nunua kwa katoni kusud hata kama ni hesabu unakuja kusoma mashelf tu
 
Kaka biashara ya duka kwa mwanzo nitakushauri lijaze kwa vitu vya muhimu kwanza huku ukichomoa faida kidogo kidogo. Mfano Wa hiyo 5000 unaweza save 2500 kwa siku nyingine ukala duka likikukua na ukawa na mauzo makubwa unaweza kuwa unachomoa hata asilimia 20 ya mauzo na kusave. Usiwe na parapara ya kusave hela ndefu kwanza. Seriously hii biashara inalipa sana tRNA maduka ya uswahilini maana faida kidogo lakini sababu ya mzunguko mkubwa unajikuta mwisho Wa siku unafaida kubwa zaid ya mwenda China. Mfano tambi utanunua letsay 1000 au 1200 lakin utauza 1500 sukari kiroba cha kg25 kuna sehemu kinauza 48000 kwa kimojamoja lakini sehemu kama kijichi utauza kwa kilo 2400 faida karibia 400 nzima . siri ya hii biashara penda kununua jumlajumla kama ni chili nunua kwa katoni kusud hata kama ni hesabu unakuja kusoma mashelf tu
Nashukuru sana mkuu concordile kwa ufanunuzi yakinifu.
 
Kaka biashara ya duka kwa mwanzo nitakushauri lijaze kwa vitu vya muhimu kwanza huku ukichomoa faida kidogo kidogo. Mfano Wa hiyo 5000 unaweza save 2500 kwa siku nyingine ukala duka likikukua na ukawa na mauzo makubwa unaweza kuwa unachomoa hata asilimia 20 ya mauzo na kusave. Usiwe na parapara ya kusave hela ndefu kwanza. Seriously hii biashara inalipa sana tRNA maduka ya uswahilini maana faida kidogo lakini sababu ya mzunguko mkubwa unajikuta mwisho Wa siku unafaida kubwa zaid ya mwenda China. Mfano tambi utanunua letsay 1000 au 1200 lakin utauza 1500 sukari kiroba cha kg25 kuna sehemu kinauza 48000 kwa kimojamoja lakini sehemu kama kijichi utauza kwa kilo 2400 faida karibia 400 nzima . siri ya hii biashara penda kununua jumlajumla kama ni chili nunua kwa katoni kusud hata kama ni hesabu unakuja kusoma mashelf tu
Mkuu nimefurahi na hii post yako,naomba kama inawezekana;tuwasiliane;unijuze zaidi..Asante
 
Mkuu jitahidi kila siku usave 20k kulingana na mauzo ya siku...pesa zingine zitumie kununua mzigo wa kujazia duka..
 
habari wakuu, nina duka langu nimenunua kutoka kwa mtu, huyo mtu aliniuzia kwa kuwa yeye, alishindwa kuliendesha kwa kuwa mauzo yote aliyokuwa anapata alikuwa anatumia kwenye ujenzi wa nyumba yake na pia alipata kazi ya kuajiriwa. hilo duka ni la bidhaa mchanganyiko yaani vocha, nafaka kama mchele, unga na maharage, pia kuna vinywaji, mfano juice, soda, maji. vitu ambavyo vinatoka sana ni nafaka, vocha na vinywaji. ila duka lenyewe kwa sasa bado kuna shelves ziko wazi yaani bado halijajaa. shida ni kwamba hela yote ya mauzo ya siku husika inaishia kwenye manunuzi ya vitu vya kuuza siku inayofuatia, yaani mimi kama kubakiwa na hela, naweza nikabakiwa na 5000 au 10000 au nisibakiwe na hela kabisa. naomba msaada ni jinsi gani naweza nikasave kwenye mauzo ya kila siku. yaani kila siku niweze kusave hela kidogo na niweze kuongeza vitu ambavyo vinahitajika dukani. dukani nauza mwenyewe.
Nikupongeze kwa post nzuri nami naomba nikushauri kidogo.
Kuna njia nyingi za kufanya lakini mojawapo ni kuhesabu mali yote iliyopo (stock taking) na uithaminishe.Kisha uwe una record mauzo ya kila siku na baada ya muda ujaribu kupiga hesabu ya faida kwa pesa uliyowekeza.Unaweza kugundua kuwa faida ni asilimia kumi ya mauzo na hiyo itakuongoza katika matumizi yako.Usitumie zaidi ya asilimia kumi ya mauzo.Jambo la pili ni kuweka kumbuku sahihi za kila siku,mimi huwa naweka mauzo yote tigo pesa na ninapokwenda kununua bidhaa natoa pesa kutoka tigo pesa.Hii inasaidia kutochanganya pesa za biashara na pesa zako nyingine na inakutia nidhamu ya matumizi.
 
Fanya haya:
Chukua stock ya vitu vyote dukani na jioni funga stock hiyo kwa kuhesabu vitu vyote dukani ni rahisi ukiwa umemasta duka lako vizuri unaweza fanya ukiwa umekaa tu coz unajua jinsi ulivyouza. baada ya hapo weka bei ya kununulia toa bei ya kuuzia utapata faida uliyopata kwa siku rudia process hii kwa muda wa siku 3 au 4 utajua faida yako unayopata kwa siku ni kiasi gani. Usisahau kujilipa mwenyewe na kutoa hela ya pango+umeme.
Pia unaweza kurudisha pesa yote katika mzunguko wa hapo hapo dukani ili kukuza mtaji wa biashara yako na ikiendelea vizuri unakuja kutoa hela nyingi kwa wakati mmoja, usipende kujaza duka lako sababu kujaza duka ni kuzuia mzunguko wa hela unakuta mtu kajaza vitu hadi vinagusa dari ila mzunguko wa hela unakua mdogo hadi anaamua kuacha biashra hasara nyingine ya kujara duka wakija wazee wakuthaminisha utalia kizungu.
 
Fanya haya:
Chukua stock ya vitu vyote dukani na jioni funga stock hiyo kwa kuhesabu vitu vyote dukani ni rahisi ukiwa umemasta duka lako vizuri unaweza fanya ukiwa umekaa tu coz unajua jinsi ulivyouza. baada ya hapo weka bei ya kununulia toa bei ya kuuzia utapata faida uliyopata kwa siku rudia process hii kwa muda wa siku 3 au 4 utajua faida yako unayopata kwa siku ni kiasi gani. Usisahau kujilipa mwenyewe na kutoa hela ya pango+umeme.
Pia unaweza kurudisha pesa yote katika mzunguko wa hapo hapo dukani ili kukuza mtaji wa biashara yako na ikiendelea vizuri unakuja kutoa hela nyingi kwa wakati mmoja, usipende kujaza duka lako sababu kujaza duka ni kuzuia mzunguko wa hela unakuta mtu kajaza vitu hadi vinagusa dari ila mzunguko wa hela unakua mdogo hadi anaamua kuacha biashra hasara nyingine ya kujara duka wakija wazee wakuthaminisha utalia kizungu.
Ingekuwa bora zaidi kama ungetoa mfano kwa kuandika kwenye daftari la mauzo kabisa.
 
Fanya haya:
Chukua stock ya vitu vyote dukani na jioni funga stock hiyo kwa kuhesabu vitu vyote dukani ni rahisi ukiwa umemasta duka lako vizuri unaweza fanya ukiwa umekaa tu coz unajua jinsi ulivyouza. baada ya hapo weka bei ya kununulia toa bei ya kuuzia utapata faida uliyopata kwa siku rudia process hii kwa muda wa siku 3 au 4 utajua faida yako unayopata kwa siku ni kiasi gani. Usisahau kujilipa mwenyewe na kutoa hela ya pango+umeme.
Pia unaweza kurudisha pesa yote katika mzunguko wa hapo hapo dukani ili kukuza mtaji wa biashara yako na ikiendelea vizuri unakuja kutoa hela nyingi kwa wakati mmoja, usipende kujaza duka lako sababu kujaza duka ni kuzuia mzunguko wa hela unakuta mtu kajaza vitu hadi vinagusa dari ila mzunguko wa hela unakua mdogo hadi anaamua kuacha biashra hasara nyingine ya kujara duka wakija wazee wakuthaminisha utalia kizungu.
Mkuu hivi ukijaza duka kunaathiri vipi mzunguko wa hela?
 
Nimewahi kufanya hii biashara,nlikuwa naandika mauzo,manunuzi,na faida.nilijikuta nina faida ya ajabu kwenye daftari.ila kwenye cash mkononi hata mia,sielewi hii imekaaje???sijui ndo mambo ya chuma ulete?!!
 
habari wakuu, nina duka langu nimenunua kutoka kwa mtu, huyo mtu aliniuzia kwa kuwa yeye, alishindwa kuliendesha kwa kuwa mauzo yote aliyokuwa anapata alikuwa anatumia kwenye ujenzi wa nyumba yake na pia alipata kazi ya kuajiriwa. hilo duka ni la bidhaa mchanganyiko yaani vocha, nafaka kama mchele, unga na maharage, pia kuna vinywaji, mfano juice, soda, maji. vitu ambavyo vinatoka sana ni nafaka, vocha na vinywaji. ila duka lenyewe kwa sasa bado kuna shelves ziko wazi yaani bado halijajaa. shida ni kwamba hela yote ya mauzo ya siku husika inaishia kwenye manunuzi ya vitu vya kuuza siku inayofuatia, yaani mimi kama kubakiwa na hela, naweza nikabakiwa na 5000 au 10000 au nisibakiwe na hela kabisa. naomba msaada ni jinsi gani naweza nikasave kwenye mauzo ya kila siku. yaani kila siku niweze kusave hela kidogo na niweze kuongeza vitu ambavyo vinahitajika dukani. dukani nauza mwenyewe.
Duka lako limefikia wapi ?
 
habari wakuu, nina duka langu nimenunua kutoka kwa mtu, huyo mtu aliniuzia kwa kuwa yeye, alishindwa kuliendesha kwa kuwa mauzo yote aliyokuwa anapata alikuwa anatumia kwenye ujenzi wa nyumba yake na pia alipata kazi ya kuajiriwa. hilo duka ni la bidhaa mchanganyiko yaani vocha, nafaka kama mchele, unga na maharage, pia kuna vinywaji, mfano juice, soda, maji. vitu ambavyo vinatoka sana ni nafaka, vocha na vinywaji. ila duka lenyewe kwa sasa bado kuna shelves ziko wazi yaani bado halijajaa. shida ni kwamba hela yote ya mauzo ya siku husika inaishia kwenye manunuzi ya vitu vya kuuza siku inayofuatia, yaani mimi kama kubakiwa na hela, naweza nikabakiwa na 5000 au 10000 au nisibakiwe na hela kabisa. naomba msaada ni jinsi gani naweza nikasave kwenye mauzo ya kila siku. yaani kila siku niweze kusave hela kidogo na niweze kuongeza vitu ambavyo vinahitajika dukani. dukani nauza mwenyewe.
vipi maendeleo ya duka lako
 
Back
Top Bottom