Recent content by kigole

  1. kigole

    JamiiForums Tanzania Vita yetu dhidi ya ushoga ni dhaifu sana

    Naungana na wewe kiongozi kwani mtu wa kwanza kulisimamia hili ni mzazi au mlezi katika familia ni ngumu sana kwa serikali kuingia mpaka kwenye malezi yetu
  2. kigole

    JamiiForums Tanzania Nini kinasababisha mwanamke kuwa na maji mengi ukeni?

    Dah! mnamajibu ya kulingana na swali na uwezo wa akili ya muuliza swali
  3. kigole

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Stake high
  4. kigole

    JamiiForums Tanzania Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Yanga safi sana
  5. kigole

    JamiiForums Tanzania Taarifa kwa Umma: Ajali ya Treni ya Abiria - Malolo, Tabora

    Nipo Tabora jamami watu wamepukutika sana tena sana
  6. kigole

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimeenda na hii mpaka sasa unapumua
  7. kigole

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huyu kaenda na maji mapema
  8. kigole

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hasante ndugu Sent from my TECNO WX4 using JamiiForums mobile app
  9. kigole

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mimi ndiyo safari hiyo imeanza Sent from my TECNO WX4 using JamiiForums mobile app
  10. kigole

    JamiiForums Tanzania Nashauri Serikali isitishe ujenzi wa daraja la Busisi, SGR na Makao Makuu Dodoma

    Kwani Nape anafaida gani kwa taifa
  11. kigole

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa msitufanye wajinga kuhusu mikutano ya kisiasa

    Ila wapinzani kwani mbunge na wawakilishi wengine wa wananchi hawatoshi kusimama kwenye maeneo yao na kuzungumza na wananchi wao juu ya mustakabali wa malengo yao mpaka mchukuane wanachama wote wakuu kuzururua na kuleta jam isiyo ya lazima kwetu? Loooh! hatutaki tumewachoka bana hizo pesa za...
  12. kigole

    JamiiForums Tanzania Kipanya aibuka na Mama Samia

    Hapo wajanja walikuwa wanakula chini kwa chini
Back
Top Bottom