Ni siri ilio wazi, ni kundi la wafanyabiashara ambao sio Wamakonde wa Ntwara, au Wafipa wa Katavi, au Wazarao wa Pwani bali wageni ambao wote tunawajua, wengine waliwahi kutukamata utumwa, wengine waliwahi kupigana na Kinjekitile na wengine walikuwa vibarua wa kujenga reli ya kati iliokuwa ya...