Nawapa tano, hao vijana wa Mwamnyange hata wakitoa kipondo kwa raia hutumia mikanda, lakini watoto wa Mwema bora kipondo cha Marehemu Osama, maana yeye hulipua mabomu toka mbali, lakini vijana wa mwema ni papo kwa papo mpaka wanaumizana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!