Hili nikweli kabisa unamkuta mtu professional yake ni nurse,co au yeyote ilimuladi kaelekezwa namna kutumia kipimo basi yeye nikutumia Tu , principle ya kipimo hajui aandaeje huo mkojo au dama ili pate majibu sahii hajui yy nikuwekatu itakavyo soma ivo ivo anakutupia majibu yakoo hili swala...
Hawa ndo wale unasikia kapigwa vis 25 unashangaa imrkuaje kumbe ndo hivi hivi, so hawa watu nimtihani Sana ,sema nivigum kukubaliana na hiii situation but jiaandae kisaikolijia ndo mmesha achana usifoce
Nafikili namna nzuri nikumubadilishia mazingila ambapo atakuwa ni mgeni mpeleke hata kigoma huko baada ya mda tena mbadilishie mazingila tena. Maana akiendelea kukaa hapo tayali anakampani kashaitengeneza na kuiacha nivigum tumia hii itakusaidi
Polee Sana dad poleee! Hii ni situation ngumu Sana na mbaya Kui, Handle kaa utuliee ongea hii shida Kwa watu mbali mbali utapata msaada na utakuwa sawatu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.