Recent content by kighuku

  1. K

    Maisha ya mama Anna Tibaijuka kijijini Muleba

    Haya ndo matusi ya mtoto wake Kashindwa kumkemea adi leo
  2. K

    Taarifa ya Mkutano wa hadhara Kata ya Ngarenaro - Arusha Mjini

    Kwani na huu mkutano kuna Watu wanasobwa kutoka nje ya Arusha au?
  3. K

    Mwandosya, Wassira, Lowassa, Amina na Makongoro Kuchukua fomu kesho

    Kwani ye sio mtanzania Kwan baba ake kuwa Rais imem disqualify yeye kuwa Rais Acha porojo na hoja nyepesi Marekan Kenya Malawi Na kwingine mbona wametokea kwan izo nchi zinaongozwa kisultan Kama anao uwezo apewe tu Tatizo mamvi ni mchafu wa roho mbaka Tabia
  4. K

    Usivunje mtungi ili kumuua Panya!

    Hahhaaha aisee wasie mpenda nape wale malimao Nape kwenye ubora wake
  5. K

    Adam Malima kutangaza nia ya kuwania Urais

    Naomben mnisaidie iv form ya Urais kuchukua ni shillings ngap?
  6. K

    Wimbi kubwa la watangaza nia URAIS 2015, ni fashion au?

    Naombeni mnisaidie ivi kuchukua form ya Urais ni shillings ngap?
  7. K

    Mjerumani amchambua Lowassa, awashangaa Watanzania

    Mbona huyo LOWASSA ajamtaja nani muhusika wa Richmond na aseme hadharan sio kuishia kusema kua ni mpango wa kumchafua tu Aseme nani alikua pesa
  8. K

    GE2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

    Ni pale ambapo shetani anajigeuZa malaika na kuwashawishi binadamu kumwona yeye ndo mwokozi wao Neno lilinenwa toka mwanzo Tizama kwa makini waliojivisha ngozi ya kondoo ingali ndan ni mbwa mwitu
  9. K

    Hivi gharama za kurusha matangazo ya moja kwa moja kwa watangaza nia wa CCM zinalipwa na nani?

    Hao matajiri wanataka gesi na mafuta yetu tu ndo ninachoona ukiona kundi la wafanya biashara wakubwa wanajichanga kwa udi na uvumba kumweka mfanyabiashara mwenzao ikulu ni dhahili kuwa wanataka madili yao ya biashara yaende poa
  10. K

    GE2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

    Ivi lowassa asipo kuwa Rais mtafanyaje?
  11. K

    GE2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

    Nendezi mkazikane LOWASSA (Richmond) ROSTAM (dowans) CHENGE (Richmond, EPA, RADA, Escrow) KALAMAGI (Mikataba ya buzwagi) LUGEMALILA (Escrow) Kwa pamoja tunawaita wazee wa madili A.K.A mafisadi NYANGUMI ndo hawa wanataka urais Hahhaaaa akyanani walaiiii Labda awe rais wa Ng'0mbeee ila sio watu!
  12. K

    Lowassa kurudi Monduli akikosa Urais?

    Wanajamvi naomba mnisaidie hasa hasa wanaCCM. Je, unaruhusiwa kurudi jimboni kwako endapo ukibwagwa kwenye kinyang'anyiro cha kumsaka mgombea urais ndani chama?
  13. K

    Dr. Slaa aanza ziara nzito Nyanda za juu Kusini

    Hakika huyu ndio Rais wetu wa awamu ya tano
  14. K

    Dr. Slaa aanza ziara nzito Nyanda za juu Kusini

    Asante sana Mwenyezi Mungu akutangulie kila uendapo
Back
Top Bottom