Elections 2015 CHADEMA wakiongozwa na Lema wamkimbia Lowassa Jijini Arusha

Lema hajakimbia yuko bze wala chadema hatujajificha tuko bze kwanza waliojaza uwanja ni watu mikoani
 
nendezi mkazikane
lowassa (richmond)
rostam (dowans)
chenge (richmond, epa, rada, escrow)
kalamagi (mikataba ya buzwagi)
lugemalila (escrow)
kwa pamoja tunawaita wazee wa madili a.k.a mafisadi nyangumi
ndo hawa wanataka urais
hahhaaaa akyanani walaiiii
labda awe rais wa ng'0mbeee ila sio watu!

unatafuta mbuzi kwenye kundi la mbuzi asiye na harufu ya mbuzi
 
Kutoka Arusha!
Wanajamvi, Amani iendelee kudumu Tanzania!

Wale wafuatiliaji wenzangu wa siasa, mtakuwa mmeshabaini kuwa siasa za Tanzania kwenye upande wa mgombea wa Urais kutoka CCM sasa zimeshika kasi kuu!

CCM inagombewa na kila mwanachama wa chama hiki anayejihisi kuwa ana sifa na anatamani ateuliwe kupeperusha bendera ya chama kwenye ngazi hiyo kuu!

Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja wa wagombea hao!
Huyu anatajwa sana kuwa anaweza kupitishwa na chama kugombea nafasi hiyo kutokana na ushawishi mkubwa alionao kuliko mgombea yeyote yule kati ya hawa waliokwisha kujitanganza mpaka sasa! Kutokana Na historia yake iliyotukuka kiutendaji!

Lowassa Kesho tarehe 30.05.2015 atatangaza nia hapa Sheikh A.A.STADIUM Arusha!

Wachambuzi wa duru za siasa mjini hapa wanabainisha kuwa Iwapo Mh.E.N.Lowassa atateuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya juu kabisa katika nchi hii, Na Wananchi wengi wa Arusha wameonyesha support kubwa sana kwa chama cha mapinduzi, hakuna namna yeyote ile chama kingine cha upinzani kama CHADEMA kinaweza kujipenyeza na kuingia tena kwenye siasa za Arusha.

Wananchi wote wa Arusha mjini na majimbo mengine wote wameonyesha nia ya dhati ya kumuunga mkono Ndg.Edward .N. Lowassa. That means wabunge, Madiwani, etc wote watatoka CCM, Vyama vya upinzani havina nafasi tena Arusha! Hii ni bahati mbaya sana kwa LEMA na CHADEMA, bila kusahau umoja wao wa UKAWA.
CCM na wagombea wake ndio watakao shika upande huu!

Idadi kubwa ya wananchi wanamsapoti Lowassa na CCM, hakuna namna yeyote ambapo Godbless J Lema anaweza kujitutumua tena kwenye siasa za Arusha!

Kidumu cha cha mapinduzi!
VIVA LOWASSA, VIVA CCM!
asome pia Lizaboni
 
Last edited by a moderator:
unatafuta mbuzi kwenye kundi la mbuzi asiye na harufu ya mbuzi

Ni pale ambapo shetani anajigeuZa malaika na kuwashawishi binadamu kumwona yeye ndo mwokozi wao
Neno lilinenwa toka mwanzo
Tizama kwa makini waliojivisha ngozi ya kondoo ingali ndan ni mbwa mwitu
 
Kwa pesa aliyokwisha tumia EL kutaka kuingia madarakani hata mshahara wa Rais kwa miaka kumi haufiki hata nusu.Tujiulize,ana mpango gani na nchi hii?
Chonde chonde wana ccm,msijempitisha huyu mtu kugombea urais,rejeeni wosia wa baba wa taifa juu ya watu wanaotumia nguvu ya fedha kutaka kuingia ikulu!

Sikio la kufa.........!
 
Kwa pesa aliyokwisha tumia EL kutaka kuingia madarakani hata mshahara wa Rais kwa miaka kumi haufiki hata nusu.Tujiulize,ana mpango gani na nchi hii?
Chonde chonde wana ccm,msijempitisha huyu mtu kugombea urais,rejeeni wosia wa baba wa taifa juu ya watu wanaotumia nguvu ya fedha kutaka kuingia ikulu!

Sikio la kufa.........!

Hizo pesa anazotumia umeziona? acha uongo
 
Wana Jf,
Wakati tukijiandaa kuhudhuria kilele cha kumuapisha rasmi Lowasa kuwa rais wa Tanzania hapo kesho hapa jijini Arusha,,kila nikipita huku mitaa ya Arusha sioni dalili yoyote ya kuwepo Chadema hapa mjini,,Makamanda wa Chadema mko wapi? Mbona mmeukimbia mji? Wazawa wenye Jiji lao tunatamba tu hapa Mjini,Lema na genge lake la Chadema wamejificha...We Lema si unasema CCM haipo Arusha mbona umejificha? Njoo kesho uwanjani Sheikh Amri Abeid uone wenye jiji lao la Arusha tunavyotamba hapa mjini,, Chadema wote wameukimbia mji,,

Hata Lowasa anatakiwa awe Bungeni, kuwepo kwake Arusha wiki ni Utoro wa makusudi kwawakilisha wapiga kura wake Bungeni
 
Wana Jf,
Wakati tukijiandaa kuhudhuria kilele cha kumuapisha rasmi Lowasa kuwa rais wa Tanzania hapo kesho hapa jijini Arusha,,kila nikipita huku mitaa ya Arusha sioni dalili yoyote ya kuwepo Chadema hapa mjini,,Makamanda wa Chadema mko wapi? Mbona mmeukimbia mji? Wazawa wenye Jiji lao tunatamba tu hapa Mjini,Lema na genge lake la Chadema wamejificha...We Lema si unasema CCM haipo Arusha mbona umejificha? Njoo kesho uwanjani Sheikh Amri Abeid uone wenye jiji lao la Arusha tunavyotamba hapa mjini,, Chadema wote wameukimbia mji,,

Ukishaona mtu anaandaa mkutano alafu nyumba za wageni zikajaa, watu wKalala kwenye magari na uwanjani juwa huyo mtu hakubaliki kwake ndio maana akahangaika kuwabeba majizi wenzie ili mwisho wa siku aonekane anakubalika hayo ni majizi tu. Ina maana huo uwanja waarusha hawawezi kuujaza?
 
Hizo pesa anazotumia umeziona? acha uongo

Wewe umelipwa sh ngapi?Una interest gani mpaka utoke njombe kwenda arusha kumsikiliza mtu akitangaza nia?Gharama utakazo tumia mpaka unarudi kwako ni kiasi gani?Una akili timamu?
 
1. Kwanza katika hotuba yake tunataka Lowassa aongelee ni jinsi gani atapambana na ufisadi, ambao umeasisiwa na umekitafuna Chama Cha Mapinduzi, ambao pia yeye anatuhumuwa nao.
2. Pili auambie umma ni jinsi gani hakuhusika na Richmond wakati alipokuwa PM.
3. Tatu aeleze ukaribu na watu wenye record mbaya kama Karamagi na Rostam na mengine mengi.
Akiweza kuyasemea, atapanda chati. La sivyo wapinzani wake wataendelea kutumia hoja hizi kama fimbo kwa EL aka mamnvi.
 
Kutoka Arusha!
Wanajamvi, Amani iendelee kudumu Tanzania!

Wale wafuatiliaji wenzangu wa siasa, mtakuwa mmeshabaini kuwa siasa za Tanzania kwenye upande wa mgombea wa Urais kutoka CCM sasa zimeshika kasi kuu!

CCM inagombewa na kila mwanachama wa chama hiki anayejihisi kuwa ana sifa na anatamani ateuliwe kupeperusha bendera ya chama kwenye ngazi hiyo kuu!

Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja wa wagombea hao!
Huyu anatajwa sana kuwa anaweza kupitishwa na chama kugombea nafasi hiyo kutokana na ushawishi mkubwa alionao kuliko mgombea yeyote yule kati ya hawa waliokwisha kujitanganza mpaka sasa! Kutokana Na historia yake iliyotukuka kiutendaji!

Lowassa Kesho tarehe 30.05.2015 atatangaza nia hapa Sheikh A.A.STADIUM Arusha!

Wachambuzi wa duru za siasa mjini hapa wanabainisha kuwa Iwapo Mh.E.N.Lowassa atateuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya juu kabisa katika nchi hii, Na Wananchi wengi wa Arusha wameonyesha support kubwa sana kwa chama cha mapinduzi, hakuna namna yeyote ile chama kingine cha upinzani kama CHADEMA kinaweza kujipenyeza na kuingia tena kwenye siasa za Arusha.

Wananchi wote wa Arusha mjini na majimbo mengine wote wameonyesha nia ya dhati ya kumuunga mkono Ndg.Edward .N. Lowassa. That means wabunge, Madiwani, etc wote watatoka CCM, Vyama vya upinzani havina nafasi tena Arusha! Hii ni bahati mbaya sana kwa LEMA na CHADEMA, bila kusahau umoja wao wa UKAWA.
CCM na wagombea wake ndio watakao shika upande huu!

Idadi kubwa ya wananchi wanamsapoti Lowassa na CCM, hakuna namna yeyote ambapo Godbless J Lema anaweza kujitutumua tena kwenye siasa za Arusha!

Kidumu cha cha mapinduzi!
VIVA LOWASSA, VIVA CCM!

binamu yako lizaboni mbona hajahudhuria?
 
Back
Top Bottom