Andrew malekela
New Member
- May 21, 2015
- 2
- 0
Nawambia kuwa lowasa ndiye anaye stahili kuwa rais wa nchi hii maana anakila kila hadhi ya kuongoza nch hii
Nawambia kuwa lowasa ndiye anaye stahili kuwa rais wa nchi hii maana anakila kila hadhi ya kuongoza nch hii
Acha ujinga wewe watauzaje nchi? Lowasa ndio anakuja kutukomboa Watanzania
Lema hajakimbia yuko bze wala chadema hatujajificha tuko bze kwanza waliojaza uwanja ni watu mikoani
nendezi mkazikane
lowassa (richmond)
rostam (dowans)
chenge (richmond, epa, rada, escrow)
kalamagi (mikataba ya buzwagi)
lugemalila (escrow)
kwa pamoja tunawaita wazee wa madili a.k.a mafisadi nyangumi
ndo hawa wanataka urais
hahhaaaa akyanani walaiiii
labda awe rais wa ng'0mbeee ila sio watu!
asome pia LizaboniKutoka Arusha!
Wanajamvi, Amani iendelee kudumu Tanzania!
Wale wafuatiliaji wenzangu wa siasa, mtakuwa mmeshabaini kuwa siasa za Tanzania kwenye upande wa mgombea wa Urais kutoka CCM sasa zimeshika kasi kuu!
CCM inagombewa na kila mwanachama wa chama hiki anayejihisi kuwa ana sifa na anatamani ateuliwe kupeperusha bendera ya chama kwenye ngazi hiyo kuu!
Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja wa wagombea hao!
Huyu anatajwa sana kuwa anaweza kupitishwa na chama kugombea nafasi hiyo kutokana na ushawishi mkubwa alionao kuliko mgombea yeyote yule kati ya hawa waliokwisha kujitanganza mpaka sasa! Kutokana Na historia yake iliyotukuka kiutendaji!
Lowassa Kesho tarehe 30.05.2015 atatangaza nia hapa Sheikh A.A.STADIUM Arusha!
Wachambuzi wa duru za siasa mjini hapa wanabainisha kuwa Iwapo Mh.E.N.Lowassa atateuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya juu kabisa katika nchi hii, Na Wananchi wengi wa Arusha wameonyesha support kubwa sana kwa chama cha mapinduzi, hakuna namna yeyote ile chama kingine cha upinzani kama CHADEMA kinaweza kujipenyeza na kuingia tena kwenye siasa za Arusha.
Wananchi wote wa Arusha mjini na majimbo mengine wote wameonyesha nia ya dhati ya kumuunga mkono Ndg.Edward .N. Lowassa. That means wabunge, Madiwani, etc wote watatoka CCM, Vyama vya upinzani havina nafasi tena Arusha! Hii ni bahati mbaya sana kwa LEMA na CHADEMA, bila kusahau umoja wao wa UKAWA.
CCM na wagombea wake ndio watakao shika upande huu!
Idadi kubwa ya wananchi wanamsapoti Lowassa na CCM, hakuna namna yeyote ambapo Godbless J Lema anaweza kujitutumua tena kwenye siasa za Arusha!
Kidumu cha cha mapinduzi!
VIVA LOWASSA, VIVA CCM!
unatafuta mbuzi kwenye kundi la mbuzi asiye na harufu ya mbuzi
Kwa pesa aliyokwisha tumia EL kutaka kuingia madarakani hata mshahara wa Rais kwa miaka kumi haufiki hata nusu.Tujiulize,ana mpango gani na nchi hii?
Chonde chonde wana ccm,msijempitisha huyu mtu kugombea urais,rejeeni wosia wa baba wa taifa juu ya watu wanaotumia nguvu ya fedha kutaka kuingia ikulu!
Sikio la kufa.........!
Hizo pesa anazotumia umeziona? acha uongo
Wana Jf,
Wakati tukijiandaa kuhudhuria kilele cha kumuapisha rasmi Lowasa kuwa rais wa Tanzania hapo kesho hapa jijini Arusha,,kila nikipita huku mitaa ya Arusha sioni dalili yoyote ya kuwepo Chadema hapa mjini,,Makamanda wa Chadema mko wapi? Mbona mmeukimbia mji? Wazawa wenye Jiji lao tunatamba tu hapa Mjini,Lema na genge lake la Chadema wamejificha...We Lema si unasema CCM haipo Arusha mbona umejificha? Njoo kesho uwanjani Sheikh Amri Abeid uone wenye jiji lao la Arusha tunavyotamba hapa mjini,, Chadema wote wameukimbia mji,,
Wana Jf,
Wakati tukijiandaa kuhudhuria kilele cha kumuapisha rasmi Lowasa kuwa rais wa Tanzania hapo kesho hapa jijini Arusha,,kila nikipita huku mitaa ya Arusha sioni dalili yoyote ya kuwepo Chadema hapa mjini,,Makamanda wa Chadema mko wapi? Mbona mmeukimbia mji? Wazawa wenye Jiji lao tunatamba tu hapa Mjini,Lema na genge lake la Chadema wamejificha...We Lema si unasema CCM haipo Arusha mbona umejificha? Njoo kesho uwanjani Sheikh Amri Abeid uone wenye jiji lao la Arusha tunavyotamba hapa mjini,, Chadema wote wameukimbia mji,,
Hizo pesa anazotumia umeziona? acha uongo
Kutoka Arusha!
Wanajamvi, Amani iendelee kudumu Tanzania!
Wale wafuatiliaji wenzangu wa siasa, mtakuwa mmeshabaini kuwa siasa za Tanzania kwenye upande wa mgombea wa Urais kutoka CCM sasa zimeshika kasi kuu!
CCM inagombewa na kila mwanachama wa chama hiki anayejihisi kuwa ana sifa na anatamani ateuliwe kupeperusha bendera ya chama kwenye ngazi hiyo kuu!
Edward Ngoyai Lowassa ni mmoja wa wagombea hao!
Huyu anatajwa sana kuwa anaweza kupitishwa na chama kugombea nafasi hiyo kutokana na ushawishi mkubwa alionao kuliko mgombea yeyote yule kati ya hawa waliokwisha kujitanganza mpaka sasa! Kutokana Na historia yake iliyotukuka kiutendaji!
Lowassa Kesho tarehe 30.05.2015 atatangaza nia hapa Sheikh A.A.STADIUM Arusha!
Wachambuzi wa duru za siasa mjini hapa wanabainisha kuwa Iwapo Mh.E.N.Lowassa atateuliwa na Chama cha Mapinduzi kugombea nafasi ya juu kabisa katika nchi hii, Na Wananchi wengi wa Arusha wameonyesha support kubwa sana kwa chama cha mapinduzi, hakuna namna yeyote ile chama kingine cha upinzani kama CHADEMA kinaweza kujipenyeza na kuingia tena kwenye siasa za Arusha.
Wananchi wote wa Arusha mjini na majimbo mengine wote wameonyesha nia ya dhati ya kumuunga mkono Ndg.Edward .N. Lowassa. That means wabunge, Madiwani, etc wote watatoka CCM, Vyama vya upinzani havina nafasi tena Arusha! Hii ni bahati mbaya sana kwa LEMA na CHADEMA, bila kusahau umoja wao wa UKAWA.
CCM na wagombea wake ndio watakao shika upande huu!
Idadi kubwa ya wananchi wanamsapoti Lowassa na CCM, hakuna namna yeyote ambapo Godbless J Lema anaweza kujitutumua tena kwenye siasa za Arusha!
Kidumu cha cha mapinduzi!
VIVA LOWASSA, VIVA CCM!