Recent content by kiganana

  1. kiganana

    Ushauri kiafya

    Habari wanajamvi! Naomba ushauri,nimejiuliza muda mrefu sana na Leo nimeamua kupiga moyo konde kuuliza ili kupata ushauri utakao nipa ahueni ya maisha... Umri wangu unaanzia na namba3, utata huu ulianzia mwaka 2009 nikiwa mwaka wa kwanza chuo kikuu kimoja hapa nchini,nlikutana na binti...
  2. kiganana

    Arusha halisi ilivyo na watu wake

    Arusha ndio kunapatikana bangi Kali kuliko zote
  3. kiganana

    Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

    Kwaniaba ya watu tulio Mbali na uwanja wa taifa na Dar es Saalam kwa ujumla mechi ya Yanga na Mazembe live TBC.
  4. kiganana

    Kujaa kwa watu uwanja wa Taifa asubuhi kunaashiria nini?

    Mechi saa ngapi wakuu...mwenye taarifa anisaidie na inaonyeshwa chaneli gani azam?
  5. kiganana

    Je, ni halali Kiongozi mwenye dhamana kubwa ndani ya Bunge na nchi kuvaa nguo kama hii?

    Ulitaka avae dera....mi nkajua kavaa kimini afu kainama kwahiyo utupu ukawa unaonekana!muache
  6. kiganana

    Watuhumiwa wa mauaji ya Mwanza, Tanga wauawa Dar

    Aloua kwa upanga naye unamhusu
  7. kiganana

    Post za A-level, mtoto kachaguliwa kwenda shule flani ikiwa hakuna kila kitu

    Habari wana jamvi. Hebu tujaribu kuliangalia hili, post za kujiunga a-level zimetangazwa na watoto wanatakiwa kuhuripot shule tar 11 July bila kukosa cha ajabu Nina kijana wangu amechaguliwa kwenda shule moja mkoa wa Mara wilaya ya bunda inaitwa Dk.Nchimbi haikuwa na advance hapo awali...
  8. kiganana

    Magufuli afanya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa, Wilaya. Mulongo atemwa, Polepole ahamishiwa Ubungo..

    Jamaa alikua akitafutwa tuu na boss wake...akajaa...hakuwepo kazini wakati Mkuu anatembelea butiama....kiukweli aliaga na wala hakutumia hats usafiri wa serikali...alijipandia basi sema Mkuu alipopita akapata chanzo AKAMTUMBUA
  9. kiganana

    Magufuli afanya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa, Wilaya. Mulongo atemwa, Polepole ahamishiwa Ubungo..

    Na sijui kama alikumbuka kujenga maana mwanza alikua anaishi guest
  10. kiganana

    Magufuli afanya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa, Wilaya. Mulongo atemwa, Polepole ahamishiwa Ubungo..

    Pita pita zangu naskia jamaa DC Maganga alikua Jembe na yupo straight forward ....na alikua akimpinga Mkuu wake alokua akimkingia kifua mtoa rushwa flan hivi...
  11. kiganana

    Magufuli afanya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa, Wilaya. Mulongo atemwa, Polepole ahamishiwa Ubungo..

    Shkamoo Mh.Rais,alotumbuliwa ukurugenzi Butiama kalamba U-DC na alotumtumbua katenguliwa. ..pia naiona Halmashauri ya wilaya ya Bunda ikielekea kuzaliwa upya....watu wa mkoa wa Mara mpo? ====== MKUU wa Mkoa wa Mara, Magesa Mulongo, ameagiza kusimamishwa kazi Mkurugenzi Mtendaji wa...
  12. kiganana

    Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

    Kama anajitosheleza mwache awe...
Back
Top Bottom