Habari wanajamvi!
Naomba ushauri,nimejiuliza muda mrefu sana na Leo nimeamua kupiga moyo konde kuuliza ili kupata ushauri utakao nipa ahueni ya maisha...
Umri wangu unaanzia na namba3, utata huu ulianzia mwaka 2009 nikiwa mwaka wa kwanza chuo kikuu kimoja hapa nchini,nlikutana na binti...
Habari wana jamvi.
Hebu tujaribu kuliangalia hili, post za kujiunga a-level zimetangazwa na watoto wanatakiwa kuhuripot shule tar 11 July bila kukosa cha ajabu Nina kijana wangu amechaguliwa kwenda shule moja mkoa wa Mara wilaya ya bunda inaitwa Dk.Nchimbi haikuwa na advance hapo awali...
Jamaa alikua akitafutwa tuu na boss wake...akajaa...hakuwepo kazini wakati Mkuu anatembelea butiama....kiukweli aliaga na wala hakutumia hats usafiri wa serikali...alijipandia basi sema Mkuu alipopita akapata chanzo AKAMTUMBUA
Shkamoo Mh.Rais,alotumbuliwa ukurugenzi Butiama kalamba U-DC na alotumtumbua katenguliwa. ..pia naiona Halmashauri ya wilaya ya Bunda ikielekea kuzaliwa upya....watu wa mkoa wa Mara mpo?
======
MKUU wa Mkoa wa Mara, Magesa Mulongo, ameagiza kusimamishwa kazi Mkurugenzi Mtendaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.