wewe ni mjinga kwanza ni jambo la kheli maana ikifikiwa watu wakapima DNA kuna kuwa na shida tayari , kwa hiyo hiyo takwimu hata ingekua 99% ni sawa . fikiria kwa makini wanaoenda kupima DNA wanasababu zipi ?
ndoa kaka ni shida hizo ni bongo mbili tofauti,jitahidi kuacha yale unayoona hayana madhara katika familia yapite hivyo hivyo . ila ukitaka unachofikiria kiwe hivyo ndoa itakushinda soon
ningefurahi zaidi kwa lipumba angejivua na huo uprofesa wake kama alishindwa kutambua hicho anachokisema leo;
je? nani ataamini na tafiti zake anazosema anaenda kuzifanya.
Prof. nakushauri rudi Tabora
Dr yuko kwenye wakati mgumu sana
kwanza; anakipenda chama hivyo anaona akijiuzuru anaweza bomoa chama alichotumia nguvu kukijenga
pili ; hapati picha chama kitasimamia misingi ipi baada ya uchaguzi kupita
tatu ; hii kamari iliyochezwa ikitoa matokeo hasi nani atalaumiwa
ili chadema kiweze...
Nguvu ya dr slaa inaonekana dhahiri kwa nyinyi mnaopinga maamuzi yake.na hili linaonekana wazi chadema bado inamhitaji sana kuliko anavyo ihitaji kwa sasa
mkuu ulichoandika ndicho ninachofikiri kila siku toka lowasa amepokelewa;Chadema baada ya uchaguzi kitakua chama cha kawaida labda kama wakishinda uchaguzi wakaonyesha kwa vitendo kuwa wanapingana na ufisadi ila ikitokea wameshindwa chama kitakosa sera kabisa ,
Mie nadhani heshima kwa Dr ibaki palepale kwa sababu kafanya makubwa katika chama. ila kuanza kumkeli na kumtusi wakati hajatoa tamko lolote ni ukosefu wa nidhamu , mbaya zaidi unafikiri slaa hana madhara angekua ni wa kawaida kama
wewe kusingekua na shahuku ya kutaka kusikia chochote kutoka kwake
Hizo kofia mbona zinatulazimisha tuchague ndiyo kwa nini zisinge andikwa yes or no kuwapa watu uhuru maana wajinga watapiga ndiyo bila kujua wanachagua nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.