Kuna Wakati nilipita huko nikifanya utafit kwenye elimu shule za msingi,nikafika mziha mngazi mpaka lumba chin na juu-vp yule mama wanamuita bibi bado yupo? nilisikia habari zake ilikuwa 2009 nilipopita huko !
Petro Eusebius Mselewa umenikumbusha mbali sana tuliahidiwa ahadi hewa tukiwa bado vijana wadogo kabisa wenye ndoto za kujenga nchi yetu ....Siioni TANZANIA YENYE RASILIMALI NA MAENDELEO ENDELEVU WACHACHE WANATAKA KUHODHI KILA KITU KWA AJILI YAO NA VIZAZI VYAO Vijana wamefundishwa Utamaduni...
Maamuzi mazuri ndugu..nafahamu uwezo wako na weledi wako kitambo natumai jamii itafaidika na maamuzi yako hasa jamii lengwa ya wasio na sauti..Viva La Amistad
Mambo vp Wadau tuko pamoja ndani ya jamvi tusiogope tukumbushane tu kuwa njia ya wote ni moja..Amani kwa Waliotangulia,Maandalizi kwa tuliobakia..Narudia usihanye,hakuna pa kukimbilia kama sio LEO, KESHO, KESHOKUTWA,WIKI IJAYO,MWEZI UJAO,MWAKA KESHO,AU MIAKA MINGI IJAYO.USIJISAHAU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.