Recent content by kifofoli

  1. kifofoli

    Kuna mpasuko mkubwa kwa wale watu wetu tunaowategemea

    Nadhani ingekuwa bora atamgaze kubadilika na kubadilika siyo dhambi. kwa sababu hata hivyo huwezi kupingana na ukweli wa mambo.
  2. kifofoli

    Makambako, Njombe: Mwandishi ashikiliwa na Kikosi Kazi cha TANESCO. Akabidhiwa Polisi na kuachiwa kwa dhamana...

    kikosi kazi cha tanesco kinapekua ,kinakamata, kinashikilia watu usiku wa manane ! Anashikiliwa na taasisi nyingine nje ya polisi! hii ndo TZ bwana.yetu macho na masikio. DR.Mwigulu upo hapo?
  3. kifofoli

    Nini hatma ya CHADEMA endapo viongozi,madiwani na wabunge wake watarejea CCM kabla ya 2020?

    Mabindi wamewagomea mnahangaika kuoa wajane kwa gharama kubwa. bado hamjajua tu kuwa kuuza mgombea wa ccm ni sawa na kuuzwa kipola ? nani ashoboke na ccm inayo tumia mabilion kumpata member mmoja. Nimeamini hakuna marefu yasiyo na ncha.
  4. kifofoli

    Alexander Mnyeti: Watumishi wasioiunga mkono CCM waondoke haraka

    Hayo ni matokeo ya kufanya siasa bila elimu ya uraia. katiba ni mkataba kati ya watawala na watawaliwa katiba inasema serikali itapata madaraka kwa wananchi na itawajibika kwa wananchi na si kwa chama wala ilani ya chama.viongozi wote tangu raisi hadi mwenyekiti wa kijiji na matunda ya katiba...
  5. kifofoli

    Mbowe achia chama kwa vijana wakijenge la sivyo 2020 yatawakuta makubwa CHADEMA

    Ukiona adui anakusifia jiulize wapi umekosea?
  6. kifofoli

    Mwisho wa Upinzani katika siasa za Tanzania

    Kwa upinzani ni kupindi cha mpito tu .lakini fikiria Chama kikongwe kinategemea kubebwa na polisi kuna chama tena?ccm vikao vimekufa yamebaki maagizo tu kutoka juu, chama chenyewe kipo mfukoni mwa jamaa. huwezi modify kama huna mtindio wa ubongo.
  7. kifofoli

    Rais futa Chaguzi !!!

    mechi ya nini na matokeo unayo? zifutwe kabisa.
  8. kifofoli

    Hamahama ya wanasiasa : Kuanzia kurejea kwa Mpendazoe hadi Wema CCM tujiulize kuna asset hapo?

    Hili ni funzo kwa serikali kwa kile wanachowafanyia wapinzani,warudi wote ccm waanze harakati ndani ya chama ili kife.
  9. kifofoli

    Viongozi wetu waliona mbali, kumtembelea Lissu hakuna afya kwa CCM yetu

    Unamaanisha kuwa imepoteza uelekeo, imekosa matumaini hivyo lolote laweza tokea?.
  10. kifofoli

    Sh. Bilioni 700 si Haba na Wanaobeza Vibaba

    hiyo ni kodi au faini ? 194bn -300mn
  11. kifofoli

    Waraka wa Bashir Yakub: Tundu Lissu japo unaumwa lakini umeshindwa

    unamdai mtu ng"ombe wakubwa wawili , unaalika majirani kuswaga na kamba mkononi ,hatimae unarudi na paka mmoja mdogo. oh rudi na kelele za shangwe na nderemooooo.
  12. kifofoli

    Bustani ya 'Eden' ipo nchi gani?

    Bustani ya Mungu ilikuwa mahali ambapo kuna nchi ijulikanayo kama IRAQ. ile mito 4 yaan gihon,hedekeli ,frati na mwingine ipo kule. mwan 2:10 -14.
Back
Top Bottom