johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,429
Binafsi bado nawakubali wapinzani wawili tu ambao ni wazi kabisa hawa ni asset kwa CCM japokuwa mmoja bado hajachukuwa kadi lakini anatekeleza ilani ya CCM huko serikalini. Hapa nawazungumzia Prof Kitila Mkumbo na mama Anna Mghwira waliotokea ACT wazalendo, lakini hao wengine kutokea UKAWA bado nawaona kama mikia imekatika. Kiukweli tufike pahala tusiirejeshe CCM kuwa kama kokoro ni lazima hawa wahamiaji tuwachuje vizuri, maana hii ni CCM mpya siyo ile kuukuu. Nawasilisha!!