call them bad names in public and in secret, unless it comes a day when your begging will call for you to eat your shit that futa maneno yako. that will be a total compromise.
Hakuna hekima kwenye siasa. Yaani kama huwezi vumilia Kelli heri uwe mwananchi tu. Ukipigiwa Kira kuwa Atari kugeukwa kama matakwa ya waliokupigia hayatimii. kifupi huwezi kumridhisha binadamu.
Kiasi cha miti kinachokatwa kwa ajili ya mkaa, Kiasi cha fedha kwa ajili ya kulipa umeme wa mabepari hawakisemi? Tumeongeza idadi ya hifadhi za misitu Tanzania nzima .Hawa UNESCO kama wanaweza, watoe pesa kama grant equivalent to planned investment ili zitumike kuzalisha umeme mbadala.
Kipimo cha binadamu ni uvumilivu. Sasa kujua hatua ya ustaarabu angalia mbinu zitumiwazo na jamii husika kutatua matatizo yake. Ukiona hofu na kutosikilizana ndio nmtindo wa maisha, usiige jamii hiyo katu, maana itakuwa inajifanya imeendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.