Na ulipata mishindo miwili kwa kuwa mshindo wa kwanda uliukatiza kutokana na kushtuka ila ungelirelax na kufurahia kilichokuwa kinaendelea ungemaliza kuzitoa mbegu zote na mfuko wa mbegu kubaki empty. Ila kwa vile ulishtuka na kukatiza mbegu zisiendelee kutoka ndomana upipopata usingizi...
Hiyo ni hali ya kawaida, ndo njia Mungu alitupatia wanaume kutoa mbegu zilizozeeka na kuruhusu nafasi ya mbegu mpya. Kama hujaona na si mzinifu hali hiyo itakutokea mara moja au mbili kwa mwezi. Nikama ilivyo hedhi kwa wanawake Kama hajabeba mimba, yai lilulozeeka hufa na kutoka nje kwa njia ya...
Si yameongezeka masaa mawili kufidia muda uliopotea na kufutwa likizo. Maana July likizo ndefu ya mwezi mmoja imefutwa, September wiki mbili zimefutwa na December wiki mbili zimemegwa jumlisha masaa mawili ya ziada. Hivyo ni haki kabisa kulipa ada ya mwaka mzima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.