Aiseeh! Mke wa Mtu sumu

Aiseeh! Mke wa Mtu sumu

Habarini Wana Jamvi.

Nimeamini Kweli Mke Wa Mtu Ni Sumu Jamani, Kilichonikuta Mwenzenu Basi Nimekoma.

Picha Ilikuwa Hivi.
Week Iliyopita Nilipata Dili Furani Kijijini, Baada Ya Kufika Kule Katika Harakati Za Maisha Si Nikakutana Na Mlembo Wa Kijiji?
Mtu Mzima Nikaona Isiwe Taabu Mbona Mtoto Anajileta Tu Acha Niombe Mzigo, Hile Kamba Ya Kwanza, Ya Pili Pisi Ikasema Imenikubali Lakini Ye Kaolewa Japo Mumewe Kasafiri Kwa Mda Sasa.
Nkaona Isiwe Kesi Acha Nimwache, Lakini Binti Akagoma Akadai Nae Kanikubali Basi Tufanye Siri Yetu, Nikaona Isiwe Taabu Acha Nami Leo Nile Kuku Wa Kienyeji.
Basi Bwana, Tukapanga Miadi Mida Ya Kukutana, Kweli Pisi Ikaja Eneo La Tukio, Mzeee Nikaona Dah Mimi Ndiyo Mimi Acha Nifaidi Leo(Kumbe Nisilolijua Ni Kama Usiku Wa Giza).

Hile Tumeanza Show, Tukapiga Sana Hadi Mida Ya Usiku Mnene, Pisi Ikaomba Kuondoka Iende Kwao, Nikamsindikiza, Hile Narudi Om Kufika Kulala Tu, Nilianza Kuumwa Kichwa Na Tumbo Sanaaaaaa, Nikajitahidi Kuvumilia Lakini Wapi, Ikabidi Niamshe Wenyeji Nikawaambia Naumwa Sana, Nikapelekwa Zahanati, Tibiwa Sana Lakini Hamna Kitu, Kufikia Saa Tatu Asubuhi Nikawa Nmekufa Kimazingara(Nina Sikia Na Kuona Kila Kitu, Lakini Siwezi Kuamka Wala Kutingisha Chochote).
Nikaanza Kuona Watu Wanalia Wakidai Nimekufa, Hadi Yule Demu Nlolala Nae Usiku Alikua Analia Hadi Kuzimia, Taratibu Zingine Za Kuusafirisha Mwili Wangu Zikawa Zinaendelee, Wakati Huo Mi Nashuhudia Kila Kitu, Natamani Niwaambie Mimi Mzima Lakini Siwezi.
Wakati Wa Kunisafirisha Taratibu Zote Zilitimia Nikawekwa Kwenye Jeneza Kwa Ajiri Ya Kurudishwa Mjini, Bahati Ilioje Binti Niliyelala Nae Akamweleza Ukweli Mmoja Wa Wazee Wa Kile Kijiji, Ghafla Msiba Ukahairishwa Na Watu Kutawanyishwa, Na Mimi Kubebwa Na Kupelekwa Kwa Mtaalamu(Mganga Wa Jadi), Nikafanyiwa Dawa Masaa Karibia 6, Mungu Mkubwa Nikaamka Nikiwa Mzima Wa Afya.
Nikaulizwa Kuwa Je Nilitembea Na Yule Binti? Nikasema Ndiyo, Wakasema Una Bahati Sana Binti Alijisema Lasivyo Ungezikwa Mzima. Kumbe Kile Kijiji Ndiyo Tabia Yao Hiyo Wana Wafunga Wake Zao, Na Binti Hakujua Kuwa Mumewe Kamcheza.

Kumbe Mume Wa Binti Kamfunga Mkewe, Ukilala Nae Tu Unakufa Kimazingara, Unazikwa Ukiwa Mzima Utafia Kaburini, Aiseeee Nimekoma Siji Rudia Tena Mke Wa Mtu Mimi.... Nimekoma
Mbona hujamalizia kusema na jinsi ulivyoliwa na kiboga kimazingara pia..
 
Taratibu za kusafirisha mwili ni pamoja na kuuchoma mwili sindano ya kuufanya usiharibike ndipo huwekwa kwenye jeneza wewe ilikuwaje? Na ilichukua muda gani kukaa kwenye jeneza wakati wanafanya maandalizi na uliwezaje kupumua? Kwa hii chai hatuji Mufindi maana ndio wanaongoza kwa kuizalisha na mashamba makubwa yapo huko kwa mkoa Iringa. Kilimo chema cha chai mkuu
 
Habarini Wana Jamvi.

Nimeamini Kweli Mke Wa Mtu Ni Sumu Jamani, Kilichonikuta Mwenzenu Basi Nimekoma.

Picha Ilikuwa Hivi.
Week Iliyopita Nilipata Dili Furani Kijijini, Baada Ya Kufika Kule Katika Harakati Za Maisha Si Nikakutana Na Mlembo Wa Kijiji?
Mtu Mzima Nikaona Isiwe Taabu Mbona Mtoto Anajileta Tu Acha Niombe Mzigo, Hile Kamba Ya Kwanza, Ya Pili Pisi Ikasema Imenikubali Lakini Ye Kaolewa Japo Mumewe Kasafiri Kwa Mda Sasa.
Nkaona Isiwe Kesi Acha Nimwache, Lakini Binti Akagoma Akadai Nae Kanikubali Basi Tufanye Siri Yetu, Nikaona Isiwe Taabu Acha Nami Leo Nile Kuku Wa Kienyeji.
Basi Bwana, Tukapanga Miadi Mida Ya Kukutana, Kweli Pisi Ikaja Eneo La Tukio, Mzeee Nikaona Dah Mimi Ndiyo Mimi Acha Nifaidi Leo(Kumbe Nisilolijua Ni Kama Usiku Wa Giza).

Hile Tumeanza Show, Tukapiga Sana Hadi Mida Ya Usiku Mnene, Pisi Ikaomba Kuondoka Iende Kwao, Nikamsindikiza, Hile Narudi Om Kufika Kulala Tu, Nilianza Kuumwa Kichwa Na Tumbo Sanaaaaaa, Nikajitahidi Kuvumilia Lakini Wapi, Ikabidi Niamshe Wenyeji Nikawaambia Naumwa Sana, Nikapelekwa Zahanati, Tibiwa Sana Lakini Hamna Kitu, Kufikia Saa Tatu Asubuhi Nikawa Nmekufa Kimazingara(Nina Sikia Na Kuona Kila Kitu, Lakini Siwezi Kuamka Wala Kutingisha Chochote).
Nikaanza Kuona Watu Wanalia Wakidai Nimekufa, Hadi Yule Demu Nlolala Nae Usiku Alikua Analia Hadi Kuzimia, Taratibu Zingine Za Kuusafirisha Mwili Wangu Zikawa Zinaendelee, Wakati Huo Mi Nashuhudia Kila Kitu, Natamani Niwaambie Mimi Mzima Lakini Siwezi.
Wakati Wa Kunisafirisha Taratibu Zote Zilitimia Nikawekwa Kwenye Jeneza Kwa Ajiri Ya Kurudishwa Mjini, Bahati Ilioje Binti Niliyelala Nae Akamweleza Ukweli Mmoja Wa Wazee Wa Kile Kijiji, Ghafla Msiba Ukahairishwa Na Watu Kutawanyishwa, Na Mimi Kubebwa Na Kupelekwa Kwa Mtaalamu(Mganga Wa Jadi), Nikafanyiwa Dawa Masaa Karibia 6, Mungu Mkubwa Nikaamka Nikiwa Mzima Wa Afya.
Nikaulizwa Kuwa Je Nilitembea Na Yule Binti? Nikasema Ndiyo, Wakasema Una Bahati Sana Binti Alijisema Lasivyo Ungezikwa Mzima. Kumbe Kile Kijiji Ndiyo Tabia Yao Hiyo Wana Wafunga Wake Zao, Na Binti Hakujua Kuwa Mumewe Kamcheza.

Kumbe Mume Wa Binti Kamfunga Mkewe, Ukilala Nae Tu Unakufa Kimazingara, Unazikwa Ukiwa Mzima Utafia Kaburini, Aiseeee Nimekoma Siji Rudia Tena Mke Wa Mtu Mimi.... Nimekoma
Sumbawanga hiyo.
 
Habarini Wana Jamvi.

Nimeamini Kweli Mke Wa Mtu Ni Sumu Jamani, Kilichonikuta Mwenzenu Basi Nimekoma.

Picha Ilikuwa Hivi.
Week Iliyopita Nilipata Dili Furani Kijijini, Baada Ya Kufika Kule Katika Harakati Za Maisha Si Nikakutana Na Mlembo Wa Kijiji?
Mtu Mzima Nikaona Isiwe Taabu Mbona Mtoto Anajileta Tu Acha Niombe Mzigo, Hile Kamba Ya Kwanza, Ya Pili Pisi Ikasema Imenikubali Lakini Ye Kaolewa Japo Mumewe Kasafiri Kwa Mda Sasa.
Nkaona Isiwe Kesi Acha Nimwache, Lakini Binti Akagoma Akadai Nae Kanikubali Basi Tufanye Siri Yetu, Nikaona Isiwe Taabu Acha Nami Leo Nile Kuku Wa Kienyeji.
Basi Bwana, Tukapanga Miadi Mida Ya Kukutana, Kweli Pisi Ikaja Eneo La Tukio, Mzeee Nikaona Dah Mimi Ndiyo Mimi Acha Nifaidi Leo(Kumbe Nisilolijua Ni Kama Usiku Wa Giza).

Hile Tumeanza Show, Tukapiga Sana Hadi Mida Ya Usiku Mnene, Pisi Ikaomba Kuondoka Iende Kwao, Nikamsindikiza, Hile Narudi Om Kufika Kulala Tu, Nilianza Kuumwa Kichwa Na Tumbo Sanaaaaaa, Nikajitahidi Kuvumilia Lakini Wapi, Ikabidi Niamshe Wenyeji Nikawaambia Naumwa Sana, Nikapelekwa Zahanati, Tibiwa Sana Lakini Hamna Kitu, Kufikia Saa Tatu Asubuhi Nikawa Nmekufa Kimazingara(Nina Sikia Na Kuona Kila Kitu, Lakini Siwezi Kuamka Wala Kutingisha Chochote).
Nikaanza Kuona Watu Wanalia Wakidai Nimekufa, Hadi Yule Demu Nlolala Nae Usiku Alikua Analia Hadi Kuzimia, Taratibu Zingine Za Kuusafirisha Mwili Wangu Zikawa Zinaendelee, Wakati Huo Mi Nashuhudia Kila Kitu, Natamani Niwaambie Mimi Mzima Lakini Siwezi.
Wakati Wa Kunisafirisha Taratibu Zote Zilitimia Nikawekwa Kwenye Jeneza Kwa Ajiri Ya Kurudishwa Mjini, Bahati Ilioje Binti Niliyelala Nae Akamweleza Ukweli Mmoja Wa Wazee Wa Kile Kijiji, Ghafla Msiba Ukahairishwa Na Watu Kutawanyishwa, Na Mimi Kubebwa Na Kupelekwa Kwa Mtaalamu(Mganga Wa Jadi), Nikafanyiwa Dawa Masaa Karibia 6, Mungu Mkubwa Nikaamka Nikiwa Mzima Wa Afya.
Nikaulizwa Kuwa Je Nilitembea Na Yule Binti? Nikasema Ndiyo, Wakasema Una Bahati Sana Binti Alijisema Lasivyo Ungezikwa Mzima. Kumbe Kile Kijiji Ndiyo Tabia Yao Hiyo Wana Wafunga Wake Zao, Na Binti Hakujua Kuwa Mumewe Kamcheza.

Kumbe Mume Wa Binti Kamfunga Mkewe, Ukilala Nae Tu Unakufa Kimazingara, Unazikwa Ukiwa Mzima Utafia Kaburini, Aiseeee Nimekoma Siji Rudia Tena Mke Wa Mtu Mimi.... Nimekoma
Chai nimesha pata lete andazi mbili haraka.

Sent from my CLT-L09 using JamiiForums mobile app
 
Nyie msioamini si kosa lenu,nilivyoanza kuisoma TU hii story nikasema hii Ni Iringa TU.Hii kitu ipo jomba Tena inaitwa LUTAMBULILO.
Wengi hawajui, waje iringa tuwazike, kila kitu wao wanadhani ni utani tu.
 
vipi kuhusu huyo mumewake alifanikiwa kukmamata mwizi wake au mliyamaliza vip na mume wa huyo dada maana ingekuwa mimi tungefikishana mbali sana mkuu
Yeye alikuwa hayupo, japo baada ya mi kupona hela zilinitoka aisee
 
Mlembo wa kijijini, kwaio hawakukuweka kwenye jokofu?
 
Back
Top Bottom