Bwana Ali Mufuruki wewe huwezi kusema neno lolote baya juu ya Makofuli maana nyie ni marafiki na ulisoma secondary moja na darasa moja. Kwa mtizamo wangu your really biased.
Ndugu zangu ni meshindwa kumuelewa Raisi wetu wakati ana hutubia Bunge la Kenya, ametoa ahadi ya kuwauzia umeme na gesi Kenya wakati sisi wenyewe Tanzania tupo Kwenye mgawo wa umeme kwa kipindi kirefu. Hivi huyo alimuandalia hiyo hotuba alizingatia nini.
Jamani wana jamvi ninachukua furusa hii kumpongeza kijana mchapa kazi yule aliyekuwa RCO Central Ahmed Msangi, ameteuliwa kuwa RPC Mbeya baadaya kuonyesha ufanisi katika utendaji wake. Kweli mungu akutie nguvu kwenye nafasi uliyopewa hasa kutokana kwamba, unakwenda kufanya kazi na vichwa vya...
Jamani wana jamvi ninachukua furusa hii kumpongeza kijana mchapa kazi yule aliyekuwa RCO Central Ahmed Msangi, ameteuliwa kuwa RPC Mbeya baadaya kuonyesha ufanisi katika utendaji wake. Kweli mungu akutie nguvu kwenye nafasi uliyopewa hasa kutokana kwamba, unakwenda kufanya kazi na vichwa vya...
Jamani kifo cha huyo kaka kimegusa wengi, huyo aliyetekeleza hayo ni Banjoooooooo yeye kazi ndio hizo, na leo nimemuona hapo mjini karibia na New Arusha anatembea bila wasiwasi.
Jamani ninaomba kuwasilisha mawazo ya wengi kwenu wana jamii, hivi inakuwaje watu wanaofanya kazi na mashirika ya umoja wa mataifa wanakataliwa kukununua kitu (gari) na kukiingiza nchini bila kulipia ushuru, wakati wafanyakazi wa serikali (Madaktari,Wanajeshi,Walimu n.k) wanapewa kipaumbele...
Kova huwa hana busara hata kidogo yeye ni mibavu tu, na hilo siyo kengeza bali miaka ya nyuma ilipokuwa kama sikosei OCD Arusha alifumaniwa na mke wa mtu, na mwenye mke ndiyo aliyempofua hilo jicho, askari wa miaka ya nyuma waliyofanya kazi Arusha wanajua hilo.
Mkuu nashukuru sana lakini hiyo mitaa mbona siyo mizuri maana shughuli za mtaa huo hazileti picha nzuri hasa ukizingati Malaya na mashoga nido maeneo yao hayo, hivyo basi safri nyingine jaribu kufikia hotel mabayo haipo maeneo hayo, ni wazo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.