Recent content by kidumeso

  1. K

    CCM vs CHADEMA: Ali Mufuruki amaliza kabisa

    Bwana Ali Mufuruki wewe huwezi kusema neno lolote baya juu ya Makofuli maana nyie ni marafiki na ulisoma secondary moja na darasa moja. Kwa mtizamo wangu your really biased.
  2. K

    Yaliyojiri Bungeni Nairobi: Rais Kikwete kutoa hotuba ya kuaga

    Ndugu zangu ni meshindwa kumuelewa Raisi wetu wakati ana hutubia Bunge la Kenya, ametoa ahadi ya kuwauzia umeme na gesi Kenya wakati sisi wenyewe Tanzania tupo Kwenye mgawo wa umeme kwa kipindi kirefu. Hivi huyo alimuandalia hiyo hotuba alizingatia nini.
  3. K

    Arusha: Hospital gani wana huduma ya kusafisha meno?

    AM Hotel wana huduma nzuri ya kusafisha na kung'oa meno.
  4. K

    Achomwa kisu na mpenzi wake Arusha

    Poleni ndugu wafiwa. Sasa wewe mleta habari hiyo picha nyingine ni ya huyo dada muhusika kwenye hayo mauaji.
  5. K

    Je ni hatua gani za kufuata kujiindoa NSSF

    Kwandu Ikombe kweli ni mchafu wa tabia, utapeli ni wa mama yake.
  6. K

    Star TV yuko wapi Angelo Mwoleka

    Huyo ni polisi aliyekosa maadili, alifukuzwa kazi wakati akiwa mwadui.
  7. K

    Imani ya ushirikina ulivyoharibu ratiba ya mazishi jana

    Nipo eneo la tukio sasa mganga amefika. Nitazidi kuwapasha yatakayojili.
  8. K

    Kamanda: Mtunza nidhamu za wanafunzi wa Arusha

    Yaani usiombe ukiwa pale uhuru road akikuona anakunyatia mpaka akufikie bro!!!!
  9. K

    IGP ateua makamanda wapya wa mikoa, AHMED MSANGI AULA

    Jamani wana jamvi ninachukua furusa hii kumpongeza kijana mchapa kazi yule aliyekuwa RCO Central Ahmed Msangi, ameteuliwa kuwa RPC Mbeya baadaya kuonyesha ufanisi katika utendaji wake. Kweli mungu akutie nguvu kwenye nafasi uliyopewa hasa kutokana kwamba, unakwenda kufanya kazi na vichwa vya...
  10. K

    IGP ateua makamanda wapya wa mikoa, AHMED MSANGI AULA

    Jamani wana jamvi ninachukua furusa hii kumpongeza kijana mchapa kazi yule aliyekuwa RCO Central Ahmed Msangi, ameteuliwa kuwa RPC Mbeya baadaya kuonyesha ufanisi katika utendaji wake. Kweli mungu akutie nguvu kwenye nafasi uliyopewa hasa kutokana kwamba, unakwenda kufanya kazi na vichwa vya...
  11. K

    Aliyemuua bilionare Erasto

    Jamani kifo cha huyo kaka kimegusa wengi, huyo aliyetekeleza hayo ni Banjoooooooo yeye kazi ndio hizo, na leo nimemuona hapo mjini karibia na New Arusha anatembea bila wasiwasi.
  12. K

    Tax exemption for UN Personnel

    Jamani ninaomba kuwasilisha mawazo ya wengi kwenu wana jamii, hivi inakuwaje watu wanaofanya kazi na mashirika ya umoja wa mataifa wanakataliwa kukununua kitu (gari) na kukiingiza nchini bila kulipia ushuru, wakati wafanyakazi wa serikali (Madaktari,Wanajeshi,Walimu n.k) wanapewa kipaumbele...
  13. K

    Kova: Kelele Zenu Ni Bure, Ahmed Msangi Ni Mtu Safi. Lazima Aongoze Tume...

    Kova huwa hana busara hata kidogo yeye ni mibavu tu, na hilo siyo kengeza bali miaka ya nyuma ilipokuwa kama sikosei OCD Arusha alifumaniwa na mke wa mtu, na mwenye mke ndiyo aliyempofua hilo jicho, askari wa miaka ya nyuma waliyofanya kazi Arusha wanajua hilo.
  14. K

    Kwa members walioko Singapore

    Mkuu nashukuru sana lakini hiyo mitaa mbona siyo mizuri maana shughuli za mtaa huo hazileti picha nzuri hasa ukizingati Malaya na mashoga nido maeneo yao hayo, hivyo basi safri nyingine jaribu kufikia hotel mabayo haipo maeneo hayo, ni wazo tu.
Back
Top Bottom