Habari za alfajiri hii wana Jf!! Kwanza nipende kupongeza uwepo wa jukwaa hili la hoja mchanganyiko
Niende moja kwa moja kwenye mada, Mimi ni mtumishi wa umma idara ya elimu nimejikuta katika mkwamo mkubwa mno na hii ni baada ya kuhamishwa kituo cha awali miezi kadhaa nyuma kwa ukatili mkubwa...
Kaka kiukweli naomba tusaidike pale taasisis ni kilio nimehangaika imefika mahali nimeona nitulie matokeo kujaziwa imekuwa ngumu kama inavyochimbwa almas mwaduo ,tunaomba pale pale msaada yaaan mmhh ukipata msaada uni Dm
Hahaa aya mkaruka chilimo karibhu ,, anye ndi bwiro kumulambo
Daah huyu bhana kanikumbusha sana sana home hongera hongera sana mleta maada leo nimejisikia amani na furaha kusoma uzi wa nyumbani thanks mr
Aiseee mleta uzi nimemuelewa sana sana maana. hili Jambo limenikumba nipo kwenye mahusiano na single mother ananifosi nimuoe lkn mm ndoto yangu nikuoa ambaye hajazaa pengine Kama nashukuru mkuu nitasimamia msimamo wangu japo sijawahi kumwambia ukweli
Mkuu naomba namba zako ninayoshida Kama hii mm group A+ wife A- Basi roho juu juuu please Ni pm namba zako utakuwa msaada mkubwa
Mnaweza mkaoana watu wa group lolote. Isipokuwa watu wenye blood group O negative hasa hasa wanawake ndo huwa wako special kidogo.
Kwanza naomba tuelewe kuna namna 35...
Wakuu na mchumba wangu nimempa ujauzito na nilikuwa na process za kufunga ndoa lkn nipo njia panda baada ya kumpeleka clinic kupimwa ukimwi na tukatoka salama wote shida ikatokea upande wa group za damu zimetofautia yy ana group -A afu Mimi group +A Sasa majibu niliyopewa na madokta yananipa...
Habar wakuu..
Mapenz ya zama za zamani yalikuwa mazuri mnoo mana ilikuwa sio rahisi kukutana na meseji za vizinga vya ovyo ovyo mpk inafikia stage mwanaume unaona ngoja nimpatie chochote kitu mubebe huyo.
Lakini zama hzi mapenz yamebadilika saana zaid ya sana, mwanamke ukimtongoza leo kesho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.