CLOUDZ FM WAMETHUBUTU, WAMEWEZA NA WANASONGA MBELE KUUA SANAA YA BONGO! Jiunge na mavinega tuscan mavirus na wanafiki CLOUDZ!
LONG LIVE SANAAAA! SHORT LIVE CLOUDZ!
Nyerere aliwahi kusema tatzo linalo tusumbua wa afrika ni umaskini wa fikra na mgando wa mawazo! Hongera kwa kulidhibitisha hili baada ya miaka 50 ya uhuru wa so called Tanzania!
a fool may do something good but don't praise him cause at the end he will do something bad to prove that he z still a FOOL! sasa wewe Cameron unazo kweli!??
Ama kweli fumbo mfumbie mjinga mwerevu atalifungua! Al shaabab watakuja kwenye maandamano alafu waache mechi ya simba na yanga!? Hebu tusifanyane watoto jamani! Wewe Kova na wenzako jiongezeni upeo wenu wakufikiri!
Haki imeenda likizo!? hii nchi (hasa kwa watawala) inaleta masihala kwenye maswala la msingi! Ushemeji na Uwifi serikalini wakati mimi mshenga mwananchi nataabika, tutaonana wabaya jamani!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.