Ngoja niende kituo cha polisi nikatukane halafu tarehe 4.10 nitawaomba msamaha...
Nimelipenda wazo lako usiache kutoa feedback
Ngoja niende kituo cha polisi nikatukane halafu tarehe 4.10 nitawaomba msamaha...
Wakuu,
Mbunge wa ccm Estha Bulaya amewaangukia polisi kwa kile kinachodaiwa kuwa aliwatukana askari wa jeshi hilo, siku ya tukio la kurushiana risasi lililohusisha vyama vya ccm na Chadema. Hayo yalisemwa jana na mkuu wa kitengo cha Tathamini na ufuataliaji wa jeshi hilo Ndugu Isaya Mngulu.
Gazeti la Nipashe, linapasha zaidi kuwa, Mngulu hakutaja matusi hayo, lakini alisema, siku moja baada ya tukio hilo mbunge huyo alienda ktk kituo hicho cha polisi na kuwaomba radhi.
My take,
Huyu Mh Mbunge wa ccm, amejutia makosa yake au ameagizwa kufunika kikombe ili mwanaharamu apite oct 2, 2011?
Umeona eenhe? Shauri yake atajikuta badala ya kusema kidumu chama cha magamba anasema peopleeees power!!!halafu huyu shori anaiga sana swaga za halima mdee....what a looser she is!
So Siku hizi ukifanya kosa na ukanda kuomba Radhi Polisi unasamehewa???
This is Stupid...............
Wakuu,
Mbunge wa ccm Estha Bulaya amewaangukia polisi kwa kile kinachodaiwa kuwa aliwatukana askari wa jeshi hilo, siku ya tukio la kurushiana risasi lililohusisha vyama vya ccm na Chadema.
alikua ametoka kilabuni, kalewa na mihemuko yake wakaenda kubutua risasi kwa gesti ya wapinzani sasa walipohojiwa na polisi ule mhemuko ukampa mzuka wa kutukana polisiHapa nimepitwa kidogo, kwani huyu mbunge alifanya kosa gani mpaka akaenda polisi kuomba msamaha?
So Siku hizi ukifanya kosa na ukanda kuomba Radhi Polisi unasamehewa???
This is Stupid...............
Mkuu,tena itakuwa alikunywa Wine.....,,,,Kwishney Legea MbayaaaAweda, hakuna cha my take wala nini
Huyu dada alilewa, alikua na nyege na vyote vilichangia kumuongezea adrenaline
kwisha
Hivi ukiwaangukia polisi kesi ya jinai inakwisha?Mi sijawahi kuona upuuzi kama huu,uwa nashindwa sana kuwaelewa polisi na UCCM wao,mishahara kiduchu,maisha ya mabatini lakini wao ndio wanajifanya CCM damu.Angekuwa ni mbunge wa CHADEMA hakuna cha kuwaangukia wala nini angepelekwa Mahakamani Tabora kwa escort ya kutisha
Kha, kumbe mwandishi wa Gazeti la UHURU!
Sasa kama huyu muomba miongozo bungeni ame confess kwamba alifanya uhalifu kwa kuwatukana Polisi, kwanini hiyo confession yake isutumike kama ushahidi wa kumfikisha mahakamani? Ni lini polisi wamepewa uwezo wa kisheria wa kusamehe wahalifu? Hivi hawa Polisi wanasoma sheria sawa na ambazo watanzania wengine tunasoma? Polisi nyinyi sio mahakama mfikisheni huyo mhalifu Bulaya mahakamni sheria ichukue mkondo wake.