Recent content by Kididimo

  1. Kididimo

    Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    Ukiona Msomi anaanza insha kwa kuongelea mambo ya kupigwa vita badala ya taaluma ujue ni mpenda vyeo.
  2. Kididimo

    Uwezo wa Marais wa Tanzania kwenye kuongoza nchi pamoja na sababu zake

    Nimecheka, na yawezekana ndo lengo kuu la mada. Duu
  3. Kididimo

    INAUZWA Karibu ofisini kwetu ujipatie Makonteina bora na ya kisasa

    Ft 40 bei na kusafirisha hadi Sumbawanga ni shs gani?
  4. Kididimo

    GE2025 James Mbowe: Aliyemuahidi kumtafutia fedha Lissu yupo Canada na familia yake anabonyeza simu tu

    Siyo tu kiboya, na ulofa wa akili pia. Mzee Mtei angekuwa mpuuzi hivyo,wasingekikuta Chama
  5. Kididimo

    Kwanini Wanasiasa maarufu hupendelea kuoa Wanawake wa Kichagga?

    Hilo la tatu lina mashiko. Kuna wengi wamevuna mitaji kutoka kwa wakwe.
  6. Kididimo

    Marekani na Israel kuishambulia Iran punde

    Safari hii Ayatola hachomoki. Wapishi wanaompikia yasadikika nao ni Mossad.
  7. Kididimo

    Marekani na Israel kuishambulia Iran punde

    Maneno ya vijuweni. Iran soon itakuwa kama Iraq au Libya.
  8. Kididimo

    GE2025 Wananchi wa Bumbuli wachinja ng'ombe kusherehea January Makamba kukatwa

    Hivi sasa Ndo ufitina uliotamalaki nchini wa kusherehekea anguko la mafanikio ya mtu. Na hili litatutafuna miaka nenda rudi huku wenzetu majirani wakisonga mbele!!
  9. Kididimo

    GE2025 Pamoja na Tume ya Uchaguzi kutoa ratiba. Lakini dalili ziko wazi Uchaguzi Mkuu hautakuwepo

    "Ukiona Simba amenyeshewa usifikiri ni paka" By Uhuru Kenyatta.
Back
Top Bottom