Recent content by Kididimo

  1. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Sina Deni anapenda Maswali: Kwa nini biashara ndogo Tanzania zinapata ugumu wa kukuza mitaji?

    Mkuu, niongezee la 3 Viongozi wanaotakiwa kusimamia sera na udhibiti wa biashara ndogo nao ni washindani wa wanaowasimamia, wananunua na kusindika mazao,wanamiliki petrol stations,maduka ya vifaa vya ujenzi, bodaboda,hiace, mabasi nk.
  2. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Neno langu kwa wasaliti wote wanaorejea CHADEMA: Karibuni nyumbani, ila....

    Sidhani kama ni sahihi. Sema uzee ndo umemsonga,betri iko down
  3. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Wazo la Wiki: Kabla ya Kuendelea Tukubaliane Mambo haya 5 kwanza!

    Ongwise!
  4. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Dkt. Ayub Rioba astaafu na kuaga TBC baada ya muda wake kuisha

    Ukiona Msomi anaanza insha kwa kuongelea mambo ya kupigwa vita badala ya taaluma ujue ni mpenda vyeo.
  5. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Uwezo wa Marais wa Tanzania kwenye kuongoza nchi pamoja na sababu zake

    Nimecheka, na yawezekana ndo lengo kuu la mada. Duu
  6. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Msaidieni apumzike. Yanayoendelea hayana comeback

    Nimecheka
  7. Kididimo

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ofisini kwetu ujipatie Makonteina bora na ya kisasa

    Ft 40 bei na kusafirisha hadi Sumbawanga ni shs gani?
  8. Kididimo

    JamiiForums Tanzania GE2025 James Mbowe: Aliyemuahidi kumtafutia fedha Lissu yupo Canada na familia yake anabonyeza simu tu

    Siyo tu kiboya, na ulofa wa akili pia. Mzee Mtei angekuwa mpuuzi hivyo,wasingekikuta Chama
  9. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wanasiasa maarufu hupendelea kuoa Wanawake wa Kichagga?

    Hilo la tatu lina mashiko. Kuna wengi wamevuna mitaji kutoka kwa wakwe.
  10. Kididimo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mahakama yaamuru mashahidi kesi ya Tundu Lissu walindwe

    Acha hiyo.
  11. Kididimo

    JamiiForums Tanzania Marekani na Israel kuishambulia Iran punde

    Safari hii Ayatola hachomoki. Wapishi wanaompikia yasadikika nao ni Mossad.
Back
Top Bottom