Recent content by Kididimo

  1. Kididimo

    Naomba kueleweshwa pale Waziri anapotoa mfukoni kwake mil. 50 kusaidia janga la mafuriko jimboni kwake

    Ni kwa nini Mawaziri wanashindwa kumuelewa Bosi wao anachokitaka? Hoja yangu iko madhubuti bado. Waziri ni National figure!
  2. Kididimo

    Naomba kueleweshwa pale Waziri anapotoa mfukoni kwake mil. 50 kusaidia janga la mafuriko jimboni kwake

    Hujaelewa mada. Hakuna nilikosema asichangie. Fungua uelewa.
  3. Kididimo

    Naomba kueleweshwa pale Waziri anapotoa mfukoni kwake mil. 50 kusaidia janga la mafuriko jimboni kwake

    Waziri Mchengerwa: UVCCM msiwaache salama wanaokuja kueneza uchochezi Rufiji . Ukifungua na Ukasoma hiyo link kuna jambo la kujifunza.
  4. Kididimo

    Waziri Mchengerwa: UVCCM 'msiwaache salama' wanaokuja kueneza uchochezi Rufiji

    Katoa M.50 anaweza kusema lolote. Ndo utawala bora tulionao.
  5. Kididimo

    Naomba kueleweshwa pale Waziri anapotoa mfukoni kwake mil. 50 kusaidia janga la mafuriko jimboni kwake

    Mkuu, niliomba kusahihishwa. Tujikite kwenye concept. Whether ni mafuriko au kufunguliwa ni ok, yote ni visababishi vya madhara kwa wakaaji.
  6. Kididimo

    Naomba kueleweshwa pale Waziri anapotoa mfukoni kwake mil. 50 kusaidia janga la mafuriko jimboni kwake

    Naomba tujikite kwenye concept na asante kwa mchango wako.
  7. Kididimo

    Naomba kueleweshwa pale Waziri anapotoa mfukoni kwake mil. 50 kusaidia janga la mafuriko jimboni kwake

    Waziri ni National figure entitled to National responsibilities. Narudia, Waziri ni cheo cha Kitaifa mwenye majukumu ya Kitaifa. Hapa nikiwa na maana kuwa anatakiwa aweke mizania sawa kwenye matukio yanayofanana ya nchi nzima. Vyombo vya habari vimeendelea kuripoti madhara ya mafuriko ya...
  8. Kididimo

    Tundu Lissu: Tume ya Uchaguzi sio Huru, ni Tume ya Rais

    Nonsense. Unajadili watu badala ya hoja.
  9. Kididimo

    Itakuaje Iran ikitumia kombora la Hypersonic?

    Ninachohisi,Iran haitarusha kombora lao direct from their territory. Watatumia base nyingine kuhadaa dunia. Otherwise tuhesabu Teheran itakuwa majivu in a matter of a minute. Aliyekuwa anatafutwa kupitia vita ya Gaza ni Iran baba la ugaidi
  10. Kididimo

    Bado CCM hakujatulia. Naziona teuzi na tenguzi nyingine muda si mrefu

    Ni matumizi mabaya ya fedha za Umma.
Back
Top Bottom