Recent content by Kidenga

  1. K

    Artemis ii Capsule, inatarajiwa kutua leo ambapo itashuka kwa kasi kubwa mara 10 zaidi ya kasi ya risasi katika re-entry

    God is real. Mungu ametupa akili lakini huwa tunashindwa kuzitumia. Ukiitazama sayansi ya anga, utaona jinsi Dunia ilivyo na ulinzi wa ajabu. Tabaka la angahewa (atmosphere) hulinda maisha kwa kiwango kikubwa sana. Vitu vinapotoka angani na kujaribu kuingia Duniani, kwa sababu ya kasi kubwa na...
  2. K

    NASA wamerudi tena Mwezini, na tayari picha za awali zimeanza kuachiwa — Je, Wale wabishi wa ‘Moon Hoax’ Bado Wataendelea Kubisha?

    unajiita smart contract , afu unapost ujinga. Nilivyoona Smart contract nikawaza huyu atakuwa mtaalam wa blockchain. Na kama ni mtaalam lazima Sayansi ipo kichwani kumbe hola. Kwa taarifa hata simu na technolojia uliyotumia kupost ni ya huyo usiemwamini.
  3. K

    Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    Ukweli ni kwamba wabantu tumelala sana. Pia hata uwezo wa kuchungulia fursa ni mdogo sana. Sana sana tumezidiwa na Majungu na Roho mbaya iliyopitiliza kwa wale waliofanikiwa. Badala ya kutafuta namna wamefanikiwa tunaanza kuwa wachawi kwao. Ninaapa sitakuja kuwa na chuki na aliefanikiwa bali...
  4. K

    Elon Musk na matarajio ya kusaidia vipofu kuona kuanzia mwaka 2026

    Kwa fikra hizi tutakuja kufanya chochote sisi waafrica kweli?
  5. K

    Pongezi kwa Shirika La Reli Tanzania (TRC)

    Kila mtu ana deni hata wewe unadaiwa. Kama haudaiwi jua umekufa. Sasa kama wewe mimi tunadaiwa sembuse nchi?
  6. K

    Pongezi kwa Shirika La Reli Tanzania (TRC)

    Nimewiwa kutoa pongezi za dhati kwa shirika la reli Tanzania (TRC) kwa huduma nzuri. Kwa wale mliopata bahati kusafiri na tren ya mwendokasi na dhani mmejionea hudumazao. Yani kuanzia kujali muda, mazingira na hata kutoa taarifa. Ukweli mmekidhi viwango vya kimataifa. Kwa mara zote...
  7. K

    With reference ya hii message kutoka ccm,nadhani ndugu polepole yuko sahihi kuhusu integration ya mifumo ya ccm,nida na inec.

    Mbona kunawatu huwa hawajielewi kiasi hiki. Kwani ukishakuwa mwanachama wa chama si lazima kiwe na taarifa zako. Mi sioni dhambi yoyote. Otherwise hufai kuwa mwanachama na inabidi CCM ikuteme mara moja. Wewe ni mwanachama na kurayako ni ya CCM kuna ubaya gani wakahakiki kadi yako ya kupiga...
  8. K

    GE2025 Majina haya ya Wabunge waliokatwa kwa visasi

    Mbunge wa Kibamba alishindwa kwenye kura za maoni . Tuache porojo zaisizo na maana. Ulitaka alieshindwa ndo ateuliwe?
  9. K

    Kama wewe ni mtumishi wa umma au mfanyakazi anayetegemea mshahara, fuata ushauri huu

    Vipi kuhusu kulipa processing fee ya mkopo kila mwaka hauoni kuna kiasi cha fedha unakipoteza? Mkopo wa kijenga kwa mwaka mmoja utapata pesa kidogo ambayo haitatosha chochote kwenye ujenzi kulingana na vipato vya watanzania wengi. Mimi naamini ukisha kopa kwa ajili ya ujenzi lazima utoke kwenye...
  10. K

    Naomba Msaada: Nyumba yetu inakaribia kuuzwa

    Ana haki ya kuuza . Kama una itaka sana tafuta pesa kwa kiasi anachotaka kuuza nunua wewe. Hata baba yako angekuwa hai akaamua kuiuza msingemzuia kwani ni mali yake.
  11. K

    Exim Bank Wafanyakazi Loan: Watumishi wa Umma Wanufaika Kufanya Marejesho kwa Miaka 11

    Riba yao ipoje? Na wanatumia fixed au reducing balance?
  12. K

    GE2025 Nikipongeze CCM kwa namna kilivyo simamia uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali mpaka sasa

    Ni ukweli usiopingika kuwa CCM ni chama kikubwa sana . Kutokana na ukubwa huu ni rahisi sana kutokea misuguano ndani kwa ndani kwani kuna watu wa kila aina. Utaratibu uliotumika kipindi hiki umeweza na unakiacha chama kikiwa kimeimarika sana. Kila mmoja alishuhudia kwa uwazi jinsi mchakato...
  13. K

    Dotto Abdallah Ketto (Doto Magari) atafuna nyama ya kitimoto hadharani

    Mimi sina shida na kitimoto lakini amejichanganya. Kibiashara lazima apigwe za uso. Mwanzo alikuwa anafanya kazi na watu wote lakini kwa sasa baadhi ya watu wa Dini yake ni ngumu sana kufanya nae kazi. Elimu ni Kitu cha Muhimu hata kama unadharau wasomi soma kwanza then vyeti tupa kapuni then...
  14. K

    Rafiki yangu ameoa mwezi uliopita, lakini sasa anasema mke wake anakojoa hata mara nne muda wa usiku tu

    Hii jamii ya sasa ni shida kweli. Kama mtu anaenda kueleza mambo ya ndani yanayomhusu mke wake rafiki ambae si hata daktari . Naamini ni vema elimu ya ndoa itolewe kwa umakini zaidi kwani ndoa nyingi zikakuwa uchi. Kama ni mke wako nendeni hospitali mkapime.
Back
Top Bottom