Recent content by Kidenga

  1. K

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Kifahari Kwenye Magari ya Umma, Huku Familia Ikisugua Benchi

    Kwa ulivyotiririka kwa maelezo mengi ya kukandi si bure kuna dereva alikanyaga Dimbwi ukaloa. Waache watu waishi maisha yao we ishi yako.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Iran yamtaka Trump awazuie Israel wasiwashambulie. Wawaache wazike kwa amani

    Tusishabikie vita. Hii vita imetuumiza sana . Mafuta yametoka 2800 mpaka 4100 na bado tunashangilia na kushabikia?
  3. K

    JamiiForums Tanzania Je, kuna ukweli kuwa waafrika weusi tumelaaniwa? (World cup rant)

    Uwe unasoma na kuelewa acha papara
  4. K

    JamiiForums Tanzania Je, kuna ukweli kuwa waafrika weusi tumelaaniwa? (World cup rant)

    Hakuna cha laana kwani akina dembele vincius Jr ni ngozi hiyo hiyo nyeusi. Angalia timu ya Ufaransa , Brazil n.k. Huyo huyo mwafrica akichezea ulaya anakuwa hatari kwelikweli. Tunahitaji uwekezaji ili hata hawa wachezaji wanapokuwa wakichezea timu za Taifa wawe na mwamko kama wanavyochezea...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Artemis ii Capsule, inatarajiwa kutua leo ambapo itashuka kwa kasi kubwa mara 10 zaidi ya kasi ya risasi katika re-entry

    God is real. Mungu ametupa akili lakini huwa tunashindwa kuzitumia. Ukiitazama sayansi ya anga, utaona jinsi Dunia ilivyo na ulinzi wa ajabu. Tabaka la angahewa (atmosphere) hulinda maisha kwa kiwango kikubwa sana. Vitu vinapotoka angani na kujaribu kuingia Duniani, kwa sababu ya kasi kubwa na...
  6. K

    JamiiForums Tanzania NASA wamerudi tena Mwezini, na tayari picha za awali zimeanza kuachiwa — Je, Wale wabishi wa ‘Moon Hoax’ Bado Wataendelea Kubisha?

    unajiita smart contract , afu unapost ujinga. Nilivyoona Smart contract nikawaza huyu atakuwa mtaalam wa blockchain. Na kama ni mtaalam lazima Sayansi ipo kichwani kumbe hola. Kwa taarifa hata simu na technolojia uliyotumia kupost ni ya huyo usiemwamini.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Rostam Maelezo yake yamenyooka na yanaeleweka. Huenda Mtangazaji ndiye ameshindwa kumhoji

    Ukweli ni kwamba wabantu tumelala sana. Pia hata uwezo wa kuchungulia fursa ni mdogo sana. Sana sana tumezidiwa na Majungu na Roho mbaya iliyopitiliza kwa wale waliofanikiwa. Badala ya kutafuta namna wamefanikiwa tunaanza kuwa wachawi kwao. Ninaapa sitakuja kuwa na chuki na aliefanikiwa bali...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Elon Musk na matarajio ya kusaidia vipofu kuona kuanzia mwaka 2026

    Kwa fikra hizi tutakuja kufanya chochote sisi waafrica kweli?
  9. K

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa Shirika La Reli Tanzania (TRC)

    Kila mtu ana deni hata wewe unadaiwa. Kama haudaiwi jua umekufa. Sasa kama wewe mimi tunadaiwa sembuse nchi?
  10. K

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa Shirika La Reli Tanzania (TRC)

    Nimewiwa kutoa pongezi za dhati kwa shirika la reli Tanzania (TRC) kwa huduma nzuri. Kwa wale mliopata bahati kusafiri na tren ya mwendokasi na dhani mmejionea hudumazao. Yani kuanzia kujali muda, mazingira na hata kutoa taarifa. Ukweli mmekidhi viwango vya kimataifa. Kwa mara zote...
  11. K

    JamiiForums Tanzania With reference ya hii message kutoka ccm,nadhani ndugu polepole yuko sahihi kuhusu integration ya mifumo ya ccm,nida na inec.

    Mbona kunawatu huwa hawajielewi kiasi hiki. Kwani ukishakuwa mwanachama wa chama si lazima kiwe na taarifa zako. Mi sioni dhambi yoyote. Otherwise hufai kuwa mwanachama na inabidi CCM ikuteme mara moja. Wewe ni mwanachama na kurayako ni ya CCM kuna ubaya gani wakahakiki kadi yako ya kupiga...
  12. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Majina haya ya Wabunge waliokatwa kwa visasi

    Mbunge wa Kibamba alishindwa kwenye kura za maoni . Tuache porojo zaisizo na maana. Ulitaka alieshindwa ndo ateuliwe?
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mtumishi wa umma au mfanyakazi anayetegemea mshahara, fuata ushauri huu

    Vipi kuhusu kulipa processing fee ya mkopo kila mwaka hauoni kuna kiasi cha fedha unakipoteza? Mkopo wa kijenga kwa mwaka mmoja utapata pesa kidogo ambayo haitatosha chochote kwenye ujenzi kulingana na vipato vya watanzania wengi. Mimi naamini ukisha kopa kwa ajili ya ujenzi lazima utoke kwenye...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada: Nyumba yetu inakaribia kuuzwa

    Ana haki ya kuuza . Kama una itaka sana tafuta pesa kwa kiasi anachotaka kuuza nunua wewe. Hata baba yako angekuwa hai akaamua kuiuza msingemzuia kwani ni mali yake.
  15. K

    JamiiForums Tanzania Exim Bank Wafanyakazi Loan: Watumishi wa Umma Wanufaika Kufanya Marejesho kwa Miaka 11

    Riba yao ipoje? Na wanatumia fixed au reducing balance?
Back
Top Bottom