Nipende kutoa rai kwa watanzania kuacha kushabikia kitendo kilichofanywa na Daktari kupigana na askari tena akiwa katika majukumu yake. Mambo kama haya yakishabikiwa kila mtu kuchukua sheria mkononi Tutahatarisha usalama wetu wenyewe
Hili ni jambo baya na Nashauri Dr. Aliefanya jambo hili...
Usione aibu kupongeza jambo zuri . Acha porojo za wakoloni wewe pongeza tu hata kama uliusagia kunguni.
Hili Taifa tunawatu wengi sana wasio litakia mema. Tusijidanganye uzalendo ni kila kitu katika nchi. Huwa tunajidanganya kwenye Tv lakini ukienda hata nchi zilizoendelea lazima uwe na...
Hakuna kuonewa huruma hapa ni ujinga kiwango cha lami kuvaa Mavazi ya disco kwenye interview. Lazima ujifunze . Interview ulisikia tangulini unaenda na T shirt? Naiwe fundisho
Pambana kufana kupona upate kazi itakayoongeza mshahara wako kama ni mwalimu omba kazi kama patron, admission officers au examination officer kwenye vyuo vikuu. Itakusaidia. Usine kufanya kosa la kutop up au kuongeza muda wa marejesho kwani unakwenda kujiumiza kwenye riba. Mkopo wowote wa zaidi...
Kama na wewe biashara yako ilikufa kwanini uone mkeo ni mzigo. Inawezekana unampa biashara hapo hapo unamwachia na masuala yote ya jikoni. Lazima biashara itakufa.
Mke anaweza kuwa kibiashara hayupo vizuri lakini kama ana utii unaweza mfundisha na mwisho wa siku mkawa na mtazamo ambao...
Hakuna cha laana kwani akina dembele vincius Jr ni ngozi hiyo hiyo nyeusi. Angalia timu ya Ufaransa , Brazil n.k. Huyo huyo mwafrica akichezea ulaya anakuwa hatari kwelikweli. Tunahitaji uwekezaji ili hata hawa wachezaji wanapokuwa wakichezea timu za Taifa wawe na mwamko kama wanavyochezea...
God is real. Mungu ametupa akili lakini huwa tunashindwa kuzitumia.
Ukiitazama sayansi ya anga, utaona jinsi Dunia ilivyo na ulinzi wa ajabu. Tabaka la angahewa (atmosphere) hulinda maisha kwa kiwango kikubwa sana.
Vitu vinapotoka angani na kujaribu kuingia Duniani, kwa sababu ya kasi kubwa na...
unajiita smart contract , afu unapost ujinga. Nilivyoona Smart contract nikawaza huyu atakuwa mtaalam wa blockchain. Na kama ni mtaalam lazima Sayansi ipo kichwani kumbe hola.
Kwa taarifa hata simu na technolojia uliyotumia kupost ni ya huyo usiemwamini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.