God is real. Mungu ametupa akili lakini huwa tunashindwa kuzitumia.
Ukiitazama sayansi ya anga, utaona jinsi Dunia ilivyo na ulinzi wa ajabu. Tabaka la angahewa (atmosphere) hulinda maisha kwa kiwango kikubwa sana.
Vitu vinapotoka angani na kujaribu kuingia Duniani, kwa sababu ya kasi kubwa na...
unajiita smart contract , afu unapost ujinga. Nilivyoona Smart contract nikawaza huyu atakuwa mtaalam wa blockchain. Na kama ni mtaalam lazima Sayansi ipo kichwani kumbe hola.
Kwa taarifa hata simu na technolojia uliyotumia kupost ni ya huyo usiemwamini.
Ukweli ni kwamba wabantu tumelala sana. Pia hata uwezo wa kuchungulia fursa ni mdogo sana. Sana sana tumezidiwa na Majungu na Roho mbaya iliyopitiliza kwa wale waliofanikiwa.
Badala ya kutafuta namna wamefanikiwa tunaanza kuwa wachawi kwao. Ninaapa sitakuja kuwa na chuki na aliefanikiwa bali...
Nimewiwa kutoa pongezi za dhati kwa shirika la reli Tanzania (TRC) kwa huduma nzuri.
Kwa wale mliopata bahati kusafiri na tren ya mwendokasi na dhani mmejionea hudumazao. Yani kuanzia kujali muda, mazingira na hata kutoa taarifa. Ukweli mmekidhi viwango vya kimataifa.
Kwa mara zote...
Mbona kunawatu huwa hawajielewi kiasi hiki. Kwani ukishakuwa mwanachama wa chama si lazima kiwe na taarifa zako. Mi sioni dhambi yoyote. Otherwise hufai kuwa mwanachama na inabidi CCM ikuteme mara moja.
Wewe ni mwanachama na kurayako ni ya CCM kuna ubaya gani wakahakiki kadi yako ya kupiga...
Vipi kuhusu kulipa processing fee ya mkopo kila mwaka hauoni kuna kiasi cha fedha unakipoteza? Mkopo wa kijenga kwa mwaka mmoja utapata pesa kidogo ambayo haitatosha chochote kwenye ujenzi kulingana na vipato vya watanzania wengi. Mimi naamini ukisha kopa kwa ajili ya ujenzi lazima utoke kwenye...
Ana haki ya kuuza . Kama una itaka sana tafuta pesa kwa kiasi anachotaka kuuza nunua wewe. Hata baba yako angekuwa hai akaamua kuiuza msingemzuia kwani ni mali yake.
Ni ukweli usiopingika kuwa CCM ni chama kikubwa sana . Kutokana na ukubwa huu ni rahisi sana kutokea misuguano ndani kwa ndani kwani kuna watu wa kila aina. Utaratibu uliotumika kipindi hiki umeweza na unakiacha chama kikiwa kimeimarika sana.
Kila mmoja alishuhudia kwa uwazi jinsi mchakato...
Mimi sina shida na kitimoto lakini amejichanganya. Kibiashara lazima apigwe za uso. Mwanzo alikuwa anafanya kazi na watu wote lakini kwa sasa baadhi ya watu wa Dini yake ni ngumu sana kufanya nae kazi. Elimu ni Kitu cha Muhimu hata kama unadharau wasomi soma kwanza then vyeti tupa kapuni then...
Hii jamii ya sasa ni shida kweli. Kama mtu anaenda kueleza mambo ya ndani yanayomhusu mke wake rafiki ambae si hata daktari . Naamini ni vema elimu ya ndoa itolewe kwa umakini zaidi kwani ndoa nyingi zikakuwa uchi. Kama ni mke wako nendeni hospitali mkapime.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.