Ndio tabia ya watanzania kushikilia na kupigia kampeni maswala ya kipuuzi...mnaacha kuweka maandamano mmeibiwa mabilioni mnaanzisha vitu vya kipumbavu nakushukuru uloweka hii post maana nilichukizwa saana na wale waliopost matusi na hasa DJ CHOKA NA OMMY DIMPOZ HAWANAAKILI
Hili shamba la bibi...bora iwe hivihivi ukipata chance we butua tu wabongo wavivu sana wakiishi kama libya ile ya gadafi watataka hata wakienda chooni wachambishwe....wacheni wenye akili wapige hela...imeandikwa kila mtu na fungu lake na "Kila mtu atakula kwa jasho lake.."
Mkae mkijua lakini nduguzanguni kujiandikisha kwaajili ya chaguzi ndogo kumeanza so kuyaepuka haya yote tujiandikishe ili tuchague kiongozi alie bora kwa maendeleo yetu
Hilisuala wana jf tusiishie kulizungumzia tu kwenye hii wall bali tuwe mstari wambele kwenye kuwafahamisha wananchi hasa vijijini kwetu kuwa tatizo la uongozi mbovu ni kupiga au kutopiga kura zetu kwenye uchaguzi mkuu.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.