Nimeitwa kwenye interview itakayoendeshwa na Human Capital Co LTD, wanahitaji 12,000 kwa ajili ya kuendesha interview of which is non refundable.Kwa mtu anayewajua tafadhali nisaidie isije ikawa ni matapeli wanatafuta hela.
Shamba la ekari 10 lenye minazi, miembe na michungwa maeneo ya pwani barabara ya kibada kigamboni - Mwasonga, ni Tshs 50mil.... Lina rutuba. Kwa maelezo zaidi piga 0622000277 au 0683000177. Karibuni.
Habari zenu,
Naombeni msaada wa wazo la kibiashara gani ya kufanya ambayo itanisaidia kukuza mtaji wa mil 3 nilizopewa na ndugu zangu baada ya kuona nimekaa muda mrefu bila mafanikio ya kupata ajira.
Toka nipewe hizo hela sijala hata kumi bado napasua kichwa kuwaza nifanye biashara gani.
Mpenzi huwa na share nae perfume na lotion vaseline sport for men,,, huwa anapenda sana anapopishana na mtu njiani kajipulizia perfume yangu huwa anapata shida sana... Hata Dada yangu huwa anahisi nipo around akinusa perfume ninayo tumia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.