Mkasa wa Ibra wa pili ni funzo kwa wanadanu wote haya mambo hayana manju wala kungwi wasichana wabichi hawajui yupo mkweli yupi muongo hawatambui muungwana wala baradhuli ufahamu wao umefungwa kama atazamaye negative ya picha gizani kila mwananke na mwanaume waliokomaa watakiwa wawafunde na...
wanawake wana magumu wanayopitia daaaaah we dada tulia kwa mumeo,kwanza wazazi wake wamemsomesha kwa shida ngoja angalau awawekee wazazi wake hata kaumeme ka REA .yaani ukiolewa na mume msomi au mwenye mafanikio chunguza kwanza familia yao halafu uchukue maamuzi,sasa aache kuweka mazingira...
daaaah KR kafanya surgery ya uso kawa mzungu piwa anamtrack KYLE bila yeye kujua ni kwavile anamupenda sana,
sasa Hans ameachiwa mtoto si atamvutisha mibangE LINDA kyle anataka wapeane zamu ya kulea mtoto, huko masomoni subiri aanze kuisoma namba maana Ghost lazima amwage kwa ungese wake
Duuuu wewe Lara1 mlokole kapewa mke anaejiweza meneja was bank na pledge ya 1 Bil!
Sasa ngoja tutaona mbeleni ikiwa single mother atatoa hiyo pesa
Tuletee Sam tuone alipokimbilia alooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.