Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
Tunaishi maisha mafupi saaaana, usitake ubebe mizigo isiyobebeka! We live once! Kama starehe yako ni pombe, go for it, kama ni ngono Tena kwa mtu unayempenda, usijizuie talk! Kama starehe yako ni kutafuta pesa, Aaghh tafuta day and night, kama starehe yako ni kusafiri kama Mimi, fanya, Mimi naweza kuamka anytime nikaondoka, I enjoy being alone. Sehemu tulivu, mashambani! Last time I drove usiku Mzima alone Dar to Kyela.... Ndio starehe yangu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atleast umekuwa mkweli mkuu