Recent content by kidabibiaga

  1. K

    Marekani wadai Uchaguzi Mdogo wa Agosti 12, 2018, uligubikwa na matukio ya fujo na ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi

    Mwanga utoke wapi? Hebu mfatilieni naye huyo Trump muone how anavyozima criticism za watu nchini mwake, na majibu anayowapa na vyeo anavyoviondoa,
  2. K

    Marekani wadai Uchaguzi Mdogo wa Agosti 12, 2018, uligubikwa na matukio ya fujo na ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi

    Unajua km Trump amemfutia kibali cha usalama Ex-CIA kwa sbabu amekua akimkosoa mara kwa mara na amekua akidai uhuru wa kujieleza?
  3. K

    Mbowe anavyoshughulikia Wapinzani Wake Ndani ya Chama

    Ukiona hvyo kuna kitu, why akisemwa mbowe mnaruka sana? Mnaficha nn?
  4. K

    PSSSF kuanza rasmi Agosti mosi 2018

    Yaani wewe ni mpotoshaji namba moja, SSRA ni regulatory body ya hiyo mifuko tu, hiyo mifuko pamoja na SSRA vyote viko chini ya Wizara ya Kazi ambayo ipo chini ya ofisi ya Waziri Mkuu
  5. K

    Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara(CHADEMA) ajiuzulu na kuhamia CCM

    Kwa hiyo na Nyalandu alinunuliwa na chadema? Ili ayaseme aloyasema?
  6. K

    Wabunge wa CCM waliopanga kumuona Lema gerezani waonywa, waitwa wasaliti

    Umelisoma gazeti? Daah so sad wapinzani mnakoelekea, habari za kutungwa ndo mnazishadadia, front page na habari ya ndani ni tofauti, yet mkishaona kichwa cha habari tu tayari mnapanik, kikao cha ndani huyo mwandishi alikuepo?
  7. K

    Waziri Nape, wachukulie hatua Gazeti la Mwananchi kwa kuihujumu CCM

    Una uhakika gani kua rais kaongea hiyo kauli? Na mwananchi umelisoma vizuri?
  8. K

    Team Visasi: Waliomunga Mkono Lowassa Niwasaliti Je Waliomunga Mkono Migiro, Membe na January

    Hahaaa, badala mshangilie ccm inavunjika mnaumia vipi nyie? Na wakati mnamfukuza zitto ilikuaje? Hahaaa poleni sana
  9. K

    Hotuba ya Kikwete inaashiria kutoamini mafanikio katika mabadiliko ya katiba CCM

    JK hajaongea hvyo, kashangaa umati mkubwa wa wanachama lakini ada wanapata kidogo, na pia kaongelea gharama za kufanya mkutano mkuu kwa wajumbe 384 ni wengi mwenzetu masikio yako yanasikia kinyume
  10. K

    CCM ni chama kilichojaa watu waoga

    Uchaguzi mdogo umetoa majibu mazuri sana,
  11. K

    CCM ni chama kilichojaa watu waoga

    Kuliko uoga uliojaa cdm? Nani wa kumpinga mbowe? Kuna uhuru gani vyama vya upinzani? Unataka wasitumie katiba yao sheria zao na kanuni zao kwa watenda makosa eti kinaitwa chama cha waoga? Mlipowafukuza kina zito mlisema ni chama cha kioga? Nyie ndo waoga wa mabadiliko yanayotaka kufanyika CCM...
  12. K

    CCM ni chama kilichojaa watu waoga

    Uongo wa hali ya juu, 93 Bill clinton akifukuza wanasheria wa majimbo wote wanaotokea upinzani, see how trump is doing, kuna utawala wa kiimla kule?
  13. K

    CCM ni chama kilichojaa watu waoga

    KHahaaa, baba wa siasa? Nyie mmeiga vingapi kutoka ccm? Mmebeba hadi visivyobebwa, hakuna jipya kusema eti cdm ndo waanzilishi wa kufukuza wanachama, bali kila chama kina kanuni na taratibu zake usipozifata lazima adhabu ikukute, kaangalie katiba yao uone adhabu za kukosa maadili na usaliti,
Back
Top Bottom