Acha uongo kesi za jinai unazijua au akili imekaa kiumbeambea tu bila weledi? Wewe umejeruhiwa utamsubiria Dpp au DCI wakushitakie? Tuache umbea na majungu tupige kazi. Km unao ushahidi peleka Police au mahakamani sio majungu mitandaoni. Inawezekanaje yupo mtu ananufaika kwa impersonation huku...
Uhakiki uendelee lkn mwisho wa siku watakao kuwa wamegongana waitwe waende kufanya verification sio usitishwaji wa zoezi lote. Kitaeleweka zoezi lipo sawasawa saaaana
Huwa inanisikitisha WaTz tynapojifanya Mabingwa wa History wakati hata waliotuletea ujuvi huo wazungu hawaangalii history bali uwezo na kipaji husika. Ndio maana hata umaarufu wa neno la WHITE HOUSE enzi za weusi kuwepo humu ulipungua kimatumizi lkn kazi iliendelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.