Nilikuwa natumia FM radio nikaweka CD sasa nataka kurudi kwenye FM radio inagoma. Wakati natumia FM radio screen touch Ilikuwa inafanya kazi ila kwenye CD screen touch haifanyi kazi
Naomba msaada
Mfumo wa uchaguzi huu hauna tofauti na mifumo iliyopita. Ila kuna mabadiliko tu ya wasimamizi wa mifumo, kama awali haukuleta madhara kama haya basi kwa kuwa wasimamizi ni wapya basi wamekuja na mambo mapya.
Mtafute mwenye muonekano mzuri mtongoze alafu umuoe. Tatizo wenye muonekano mzuri hawana hela wala mali pia sio waoaji cha mwisho na chamsingi hawavutiwi na wako ndio maana hawajakutongoza
Habari simu yangu aina ya Techno W5 nikiwasha hot-spot Wi-Fi inajizima baada ya sekunde 2.
Kabla nilikuwa natumia vizuri tu. Naomba msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.