Recent content by Kichuri hatari

  1. K

    Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

    Hahaha karibu musoma mura
  2. K

    Ni Dengu ama Dengue?

    umetisha na hiyo ya wahindi
  3. K

    Mwana JF mtata

    Mzizi mkavu
  4. K

    Vimini vimeadimika

    hahahah chezea kuumwa na hakuna tiba lazima akili ikae sawa
  5. K

    Hodi hodi humu ndani...

    Salamu kwenu wadau, mimi ni memba mpya katika kipande hii naomba ushirikiano...
  6. K

    Hivi wanaume wengine sijui wakoje

    hahaha pole ila ndio mapinduzi hayo na wengine washamegwa kwa ajili ya hizo social network
  7. K

    Msaada jamani kuna shida wakati wa kukojoa haja ndogo

    Wana jamvi takribani leo ni siku ya tatu kila nikienda kukojoa haja ndogo vitu vyanitekenya tekenya kwa chini ya mzee na hasa pale ninapomalizia malizia
  8. K

    Hawa ndio waliomtukana Baba wa Taifa Mwl. Nyerere matusi makubwa!

    hakuna tusi kubwa kama kutoyafuata ya mazuri na yenye tija kwa taifa aliyoyaacha mwalimu...
  9. K

    Nimeanza kuishi kwa woga!

    pole sana mkuu ila hauna barabara ndefu isiyo na kona
  10. K

    Mchungaji Rwakatare acharuka Bungeni!

    aende akafanye kazi ya Mungu aache siasa
  11. K

    Mchungaji Rwakatare acharuka Bungeni!

    hana jipya mchumia tumbo 2
  12. K

    Msaada tafadhali;Nichukue hatua gani za kisheria?

    kama hamkuandikishiana hesabu umeliwa siku nyingine kuwa makini
  13. K

    Utaratibu wa kununua kiwanja/ardhi

    ni vema umekuwa mkweli mapema kuliko kuingia chaka, cha kwanza ni kujua kama kiwanja kimepimwa au la? kama kimepimwa na kina offer basi mchakato mzima unaanzia Manispaa husika ya kiwanja kilipo pale utaenda ofisi za ardhi. na kama hakijapimwa basi nenda serikali za mtaa kuangalia kama eneo...
  14. K

    Kutembea na mke wa mtu ofisi moja

    Embu fafanua mkuu kutembea nae vipi
Back
Top Bottom