Kwa hiyo kama amedhurika atapona kwa hicho kilio anacholia mama yake?
Kama mnahisi kunatatizo kwa nini msimpeleke hospital kujiridhisha? Yaani lisaa lizima, mtoto kilio na mama kilio.
Umeme umekatika toka jana saa nne maeneo ya mtoni kwa aziz ally, lakini ulirudi saa moja usiku lakini baadhi ya maeneo huku nyuma ya sabasaba haujarudi hadi sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora tu unyamaze maana hujui hata ni nani aliyekuwa waziri wakati huo na ninani sasa hivi. Na kama alikuwa mhandisi au la.
Hivi shule inapofanya vibaya mwl mkuu akiwajibishwa anaweza jitetea kuwa sio mimi ninayewafundisha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.