Ndugu naombeni mnisaidie nifanyaje,
Nina ndugu yangu ana mtoto wa miezi Sita leo ameanguka kutoka kwenye kochi mpaka kwenye tiles na kaangukia kisogo mama yake hajiwezi Kwa kilio niko hapa na mtoto sijui nimpe huduma gani ya kwanza maana saa zima mtoto analia tu bila kunyamaza
Nina ndugu yangu ana mtoto wa miezi Sita leo ameanguka kutoka kwenye kochi mpaka kwenye tiles na kaangukia kisogo mama yake hajiwezi Kwa kilio niko hapa na mtoto sijui nimpe huduma gani ya kwanza maana saa zima mtoto analia tu bila kunyamaza