Mwl kaijage amepata ajira yake juzi ktk ajira mpya za walimu amepangiwa vijiji vilipo mpakani mwa tz na burundi
network hakuna za kutuma mambo ya act lakini pi a anajiondoa act taratibu baada ya kugundua usanii wa zzk
anapiga pesa wao wanakula uji na mchicha tuu
Kuna taarifa muhimu ambazo punde zitatoka viongozi wakuu wa ukawa watapita mikoa 18 kwenye opareshi okoa tanzania
mgawanyo wa timu kabambe na vikosi maalum vya majembe ya ukawa vitapita ardhini na angani kushambulia wilaya kwa wilaya na kata kwa kata
lengo kuhasisha wananchi kujiandikisha...
kuanzia asubuhi leo wafanyabiashara hapa muheza wamefunga maduka yao ktk hostoria ya muheza mpaka wahindi leo wamefunga maduka kupinga upandishwaji wa leseni za maduka kwa 100%
Hii leo muheza uhaba wa bidhaa zamadukani mpaka usiku hazikupatikana chakushangaza gari la polisi limeranda randa...
Wanajamvi,
Kila siku zinavyokwenda chama cha ACT kitakufa mapema sana 30/06/2015 na hakitashiriki uchaguzi Mkuu mwaka huu
Sababu hizi hapa.
1: Mgogoro wa nani ni ACt halisi kati ya ACT wazalendo ya zitto na ACT Tanzania ya Limburg
2: Kutangaza kuwa lowassa akienguliwa ccm wanamkaribisha...
Taaarifa hizi zinasema Nikitendo cha zitto kuwakaribisha wote watakao enguliwa na ccm kura za maoni wajiunge act-wazalendo
Hii imewastua sana ccm kwa kauli za hadharani kumkaribisha lowassa na wote inaonesha kuwa act kimeundwa na wenye hofu ya kuenguliwa ccm
Hivyo mpango wa ccm...
Mwenyekiti wa Ippmedia ametaka serikali kutolea taarifa juu ya shutma alizo pewa mengi kutaka kuiyangusha serikali yake
Kwa mujibu wa gazeti Moja lilimnikuu zitto kabwa akimshtaki mengi kwa kikwete
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.