Recent content by Kichapo13

  1. Kichapo13

    Hivi huyu tapeli nae ameshinda?

    Sijawaji kumuona hata siku moja akikosoa jambo lolote bungeni. Yeye kazi yake ni kusifia tu. Pengine hii ndiyo staili yake,lakini kwakweli inaboa!
  2. Kichapo13

    Mgombea urais: Huyu ndiye anayeungwa mkono na chama cha CCM

    Ni kweli Dk. Augustine Mahiga hafahamiki kwa wananchi wengi, lakini kama tunataka kuirejeshea heshima Tanzania, bora angepewa yeye urais kuliko hawa wengine ambao tutalazimika kutumia sabuni kuwasafisha!
  3. Kichapo13

    Wagombea CCM wamwaga fedha kama njugu

    Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukubaliana na uzushi huu. Japokuwa matumuzi ya fedha kwa wagombea yako wazi, lakini kwanini yule anayeshika nafasi ya kwanza awe wa mwisho? Hii maana yake ni kwamba hao washauri wanaotumika kuandika posts hizi wasidhani kwamba wanamfagilia mgombea wao, bali...
  4. Kichapo13

    Diwani Yombo Kilakala akaangwa

    Hii itamsumbua kwasababu anaonekana Msaliti katika chama chake. Na ikumbukwe tayari Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana, Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Abdallah Bulembo wameshatoa kauli kwamba Diwani atakayehujumu uchaguzi atafukuzwa uanachama. Nahisi...
  5. Kichapo13

    Diwani Yombo Kilakala akaangwa

    Diwani wa Kata ya Yombo Kilakala (CCM) Elizabeth Magwaja amelalamikiwa na wenyeviti wa matawi katika kata hiyo kwa kile kinachodaiwa kuwa anaunga mkono vyama vya upinzani katika uchaguzi wa serikali za mitaa. Wenyeviti hao wameandika barua kwa Katibu wa CCM wilaya ya Temeke wakimshutumu Diwani...
  6. Kichapo13

    Mtemvu na biashara ya Utumwa Dubai

    Kupeleka watu nje kufanya kazi ilikuwa nia njema kabisa kwasababu Tanzania hakuna ajira tena, na hata hizo ajira ambazo zingefanywa na watanzania wenyewe kama upishi, ulinzi n.k; sasa zinafanywa na wageni. Hata hivyo, hili la watu kwenda kufanya kazi katika mazingira ya utumwa, ni kashfa kubwa...
  7. Kichapo13

    Wakuu wa Shule Dar wakwapua fedha za malipo ya Wanafunzi Miaka 50 ya Muungano

    KAMA kuna dhambi, ufisadi na utapeli mkubwa umewahi kufanywa na Wakuu wa Shule za Msingi na Sekondari mkoani Dar es Salaam ni ule uliofanywa tarehe 26/4/2014 wakati wa kilele cha Sherehe za miaka 50 ya Muungano. Taarifa ambazo ninazo zinasema kwamba bajeti kwa ajili ya kuwalipa watoto hao...
  8. Kichapo13

    risasi maulanga

    Ni mtoto wa marehemu Omar Mwaulanga. Baba yake alikuwa Ofisa Usalama wa Taifa. Maarufu sana pale Kinondoni eneo la manyanya
  9. Kichapo13

    Kigogo NSSF akodi maiti Muhimbili kwa ajili ya ushirikina

    Tatizo ni kwamba kwenye mashirika yetu wamejaa watu wa ajabu. Kama mtu aliingia kwenye nafasi yake kwa kuhonga kutokana na uwezo Mdogo, unategemea nini?
  10. Kichapo13

    Kigogo NSSF akodi maiti Muhimbili kwa ajili ya ushirikina

    Huyo Kigogo anayetajwa kwamba ndiye anamiliki Mlimani Tower kisha ameipangisha NSSF Kinondoni ni nani? Kama kuna mtu anamjua atusaidie!
  11. Kichapo13

    Mkutano wa hadhara wa CCM Viwanja vya Mwembeyanga wafana

    Niko hapa. Kinana sasa anaongea, lakini hotuba yake haina mvuto kiasi kwamba wafuasi wa chama hicho wamefurika katika baa ya Kisuma wanakunywa pombe. Hawana habari na mkutano. Kisuma yote ni kijani na manjano
  12. Kichapo13

    Kigogo NSSF akodi maiti Muhimbili kwa ajili ya ushirikina

    Jamani nimemgundua huyo Kigogo wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) anayekodisha maiti katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kwenda kufanyia makafara. Hata watumishi wengi pale NSSF Makao Makuu wanamjua. Ni mtu mmoja mpenda sifa sana. Anapenda kuonekana ndiye bosi kuliko...
  13. Kichapo13

    Kigogo NSSF akodi maiti Muhimbili kwa ajili ya ushirikina

    Mnashangaa maiti kutoka kinyemela muhimbili? Hao waganga "Wapigaji" wote wanapata pesa kupitia Mochwari ya Muhimbili. Wanaulize Dk. Rama, Chifu Kiumbe, Majimarefu na wengineo! Nyie acheni tu.
  14. Kichapo13

    Kigogo NSSF akodi maiti Muhimbili kwa ajili ya ushirikina

    Kama habari hii ni kweli basi kazi ipo. Hata hivyo suala la ushirikina pale mochwari muhimbili halijaanza kusemwa leo. Watu wamekuwa wakikodisha miili ya watu kwenda kufanyia ulozi. Nahisi kama kuna ukweli
  15. Kichapo13

    Utata wa Kifo Cha Hayati Sokoine

    Niwakumbushe kitu. Wakati Sokoine akiwa Waziri Mkuu, Msaidizi wake alikuwa Horace Kolimba. Inatosha kusema hivyo!
Back
Top Bottom