haa haa ila lowasa umempunja sana mkuu. mbona huyu huwalipa wanaodhamini kiasi kikubwa cha pesa pia bodaboda wanaomshangilia hutumia pesa nyingi kuwalipa..
Bashe na propaganda zake nyepesi anatafuta uhalali wa mgombea wake mtoa Rushwa.Watanzania wa leo ni waelewa sana.
Bashe na propaganda zake nyepesi anatafuta uhalali wa mgombea wake mtoa Rushwa.Watanzania wa leo ni waelewa sana.
Nimeipenda hiyo kwenye red...LOWASSA ndiye kinana wa kumwaga mapesa...ha ha haaa!!Hapo kwa LOWASA umempendelea sana. Yule ndiye kinana wa kumwaga mapesa na anatumia usafiri wa ndege.
Nimeipenda hiyo kwenye red...LOWASSA ndiye kinana wa kumwaga mapesa...ha ha haaa!!