Mtemvu na biashara ya Utumwa Dubai

Mtemvu na biashara ya Utumwa Dubai

Waislamu wakienda hakuna tatizo maana Dubai sio ya makafir, makafir ndio hawafai. Makafir waende Ulaya na Marekani huko ndio kuna wafaa kwa kuwa kuna mfumo kristo.

Ninamjua mama mmoja wa kiislamu alienda Dubai kufanya kazi za ndani baada ya miezi nane akarudi huku anahema hataki kukumbuka kabisa. Anasema yeye mwisilamu mwenzao kafanyiwa hivo je wengine? Tusidanganye watu
 
Kwa hii kumbe Historia ya yale maamuzi ya kuabolish slave trade ni kiini macho?
 
Mkuu una nini??
wakenya walifukuzwa UAE wakati wa kibaki....

Walichanganyikiwa kwa hilo mpaka kibaki akaomba msamaha
Dubai employment visas for Kenyans still an issue : Diaspora Messenger News Media

Acha kudanganya mkuu. Unadhani wakenya wanaosemwa hapo wanaenda kuomba uyaya huko? Wanaomba kazi za maana kabisa.

In April 2010, the UAE imposed some new visa rules on
Kenyans requiring them, among other things, to have degrees
to come to the UAE....

However, the Kenyan Ambassador said the country has a
“saturation of graduates” and thus the fresh young men
would be “very useful as economic agents outside Kenya.”
“It is important that the young men and women benefit from
any openings and opportunities abroad. We do not have a
problem of brain drain. It is brain gain. The Kenyan market is
saturated, making it hard to get employed there.”
 
Kama kitu huna uhakika nacho usiropoke anapeleka dubai sio watumwa ni watu wanaokwenda kupata ajira tena mfanyakazi wa ndani hulipwa hadi laki mbili sio kweli ndugu zetu hawa wakifika dubai hujisahau na kuanza kutembea na baba wenye nyumba ni uongo wanaousambaza kuna watu wanatumia fursa hiyo ya mtemvu kuwadanganya ndugu zetu ubalozi upo na unafwata haki zote za wafanyakazi wa ndani usikubali kupelekwa kama hujapata karatasi za mkataba zilizosainiwa na balozi

Wewe ni mpuuzi wa kipekee kabisa na inaeleka hujui kitu mbulula wewe! mwanaharamu!
 
muanzisha post bila shaka ana lake jambo na mtemvu, anaonekana anasikiliza maneno ya kijiweni na kuyaleta hapa. Lete uthibitisho wa mtu mmoja tu aliyepelekwa huko na kampuni ya Mtemvu na akapatwa na hayo unayoyasema, vinginevyo una wivu wa kike.

je unafahamu wale aliowapeleka mtemvu wanafanya kazi gani ?
 
When have Arabs ever treated black people fairly? let alone as equals. Y'all seem to have forgotten your 500-year history with these desert dwellers.
 
kazi za ndani na udereva tena sio Dubai kama mlivyokariri ni nchi kadhaa za kiarabu.
Mmeshindwa kuonesha ushahidi kwa waliopelekwa na kampuni ya Mtemvu waliopata matatizo.
Anayepata ajira kupitia kampuni hiyo kuna utaratibu mzuri wa makubaliano na mikataba inayosimamiwa na balozi zote
za nchi mbili husika. Anayekwenda anajua haki zake mshahara wake na kila kitu kabla hajaondoka TZ, Ndio maana nasema mleta mada anajambo lingine lilojificha dhidi ya kampuni hiyo au wamiliki wake.
Wata mnakandia kufanya kazi za ndani arabuni, mnajua wanaokwenda Ulaya hufanya kazi gani au hapo Afrika kusini?
je unafahamu wale aliowapeleka mtemvu wanafanya kazi gani ?
 
Msaliti mwingine huyo....alionekana bungeni au nimeoverscope wadau?
 
Kifupi;kufanya kazi kwa mwarabu ni kajehanamu kadogo!!!!
 
kazi za ndani na udereva tena sio Dubai kama mlivyokariri ni nchi kadhaa za kiarabu.
Mmeshindwa kuonesha ushahidi kwa waliopelekwa na kampuni ya Mtemvu waliopata matatizo.
Anayepata ajira kupitia kampuni hiyo kuna utaratibu mzuri wa makubaliano na mikataba inayosimamiwa na balozi zote
za nchi mbili husika. Anayekwenda anajua haki zake mshahara wake na kila kitu kabla hajaondoka TZ, Ndio maana nasema mleta mada anajambo lingine lilojificha dhidi ya kampuni hiyo au wamiliki wake.
Wata mnakandia kufanya kazi za ndani arabuni, mnajua wanaokwenda Ulaya hufanya kazi gani au hapo Afrika kusini?
Huko nako kuna ma agent mkuu??!!
Hebu equalize huu mjadala tuongee kwa ujumla wake
 
Tatizo ni la wizara husika. Wakati agents wengine wamekatazwa kampuni ya mheshimiwa inaruhusiwa na hata naibu waziri anashiriki kuipigia debe kwa kupitia picha.
 
Ni upumbavu hasa wa makabila ya kibantu kupost watu wao huko uarabuni kwa kazi ya uyaya....cha kushangaza ni waislam tu ndio wanakubaliwa.Na tabia hii hata hapo Dar imeenea,wanaofanya kazi za dami kwa wahindi ni waislam na hawana elimu,Kwa utafiti niliyofanya mpaka mkristo anayetafuta kazi hizo aweze kudanyanya jina la kislam ndiyo apate kazi.Na shauri jamii ya ukanda wa pwanu na kati pelekeni watoto hasa wa kike shule jamani.............
Nyumbani kwangu nina wafanyakazi wa ndani wa tano (5),wanne ni wakristo. Na huyo mmoja (wa tano) alisilimu mwenyewe kwa hiari yake baada ya kukaa nae miaka mingi toka 1996,...
 
Haya yote ya watoto wa watu kutafuta/kupelekwa nchi za watu kwa minajili ya kutafutiwa kazi ni kutokana na ukweli kwamba nchi yetu(TANZANIA) imekosa mikakati mizuri na yenye tija kwa wote...hii ikijumuisha kuelekeza nguvu katika kubuni na kutengeneza ajira za kutosha kwa watanzania...mfano kwa kufufua viwanda na kufanay KILIMO KWANZA kuwa kwanza kweli na si propaganda za kisiasa.Huku wachache wakifura na kuvimbisha mitambi yao kwa kunyonya kodi za wadanganyika.

Ni vyema makampuni nyonyaji yakapigwa ban au hata kutaifishwa kwa lengo la kutoa fursa kwa walio wengi na kuepusha uonevu huu wa mwenye nacho kuzidi kumgandamiza asiye nacho!!!!
 
Hata hivyo balozi za Tanzania ktk nchi mbalimbali zinalalamikiwa sana kwa kutotekeleza majukumu yao inavyotakiwa na inavyowapasa.....
 
Kupeleka watu nje kufanya kazi ilikuwa nia njema kabisa kwasababu Tanzania hakuna ajira tena, na hata hizo ajira ambazo zingefanywa na watanzania wenyewe kama upishi, ulinzi n.k; sasa zinafanywa na wageni.
Hata hivyo, hili la watu kwenda kufanya kazi katika mazingira ya utumwa, ni kashfa kubwa kwa wahusika akiwemo Mhe. Mtemvu mwenyewe.
Hii ndio hasara ya kuwakwepa washauri wa maana na kukimbilia kuwa na wasaidizi wanaofanya kazi kwa misingi ya udini, ukanda na ukabila.
 
wanawake wanateseka huko

tuache ushabiki wa kidini na kichama this is about human and lets united together to say NO TO HUMAN TRAFFICKING
 
Acheni mambo ya kusikia "tende ndio udongo wa arabuni" Kwanini wanawake wa kifilipino wanafundishwa mafunzo ya karate kabla ya kwenda Arabuni. Huyo mpuuzi anaysema Ubalozi unasaidi watanzania, lini na wapi? Kuna madada wa kibongo walipelekwa kusoma India, Russia, Ukraine nk, Balozi zimewatelekeza nawengi wao ni machangudoa. Balozi za Tanzania nje zipo kwa kumpokea JK na mawaziri wake

Big up mkuu kwa kuweka ukweli hadharani.
 
Back
Top Bottom