uzuri wa kiongozi yeyote ni yule anayeleta maendeleo ya watu na siyo anayetengeneza matatizo na kuanza kuyatatua kwa kutaka sifa.
Ukiangalia mazungungumzo ya mkutano wote ni kama malalamiko kwa serikali anayoiongoza kwa hiyo tungekuwa na katiba iliyopendekezwa na wananchi tusingefikia hapa tulipo
hivi hizi sheria za serikali za mitaa (bylaws) zinapendekezwa na nani? zinathibitishwa na nani? waziri kweli ambaye wala siyo mjumbe wa council?
ugonjwa huu ni hatari sana na siyo kukimbilia kukamata waliosababisha bali ni kupambana nao kwa njia zote za kitabibu kabla ya madhara makubwa hayajaja...
Bado inatumika mifuko iliyokatazwa Tanzania,hata bara la Asia kwa nchi ambazo nimefika China,Thailand,India,zinatumika sema elimu ipo so ukishatumia unatupa/kuweka kwenye dustbin ya recycle na wenye viwanda wanaendelea kutumia,so huwezi kuziona zimezagaa mitaani kama hapo Bongo
Taasisi ya kuzuia na kupamabana na rushwa (TAKUKURU) NDIYO Prevention and Combating of Corruption Bureau ( PCCB) KWA KINGEREZA unaweza pia kuipitia hapa kama imegoma hapo juu
www.pccb.go.tz
ada za private zinaweza kupungua endapo serikali ingeweza kupunguza angalau baadhi ya kodi kwa hizo shule maana ni kama wanasaidia serikali kutoa elimu
Kweli hapa kuna maswali mengi kuliko matarajio ya majibu maana tulitarajiwa tumeshalipwa hiyo 300m.Inabdi kiongozi msemaji wa mzee atujulishe walikofikia maana inaweza kuwa walishalipa tayari au wapo kwenye mazungumzo mengine
Kama kutakuwa na tume huru ya uchaguzi hapo hoja yako inaweza kuwa na mashiko lkn kwa ilivyo kwa sasa bado kuna ukakasi maana anayemteua mtendaji mkuu wa tume naye ni mgombea sasa hata ikitenda haki bado kutakuwa na sintofahamu
mbona wasioafiki inasikika sauti ya wachache na walioafika wanasikika ndy wengi lakni majibu ya mhes Naibu spika anasema wasioafiki wameshinda? Hebu aliyeelewa aweke wasi hapa tuelewe
Kweli hili bunge la kusema ndy au hapana siyo kabisa maana maamuzi yake bila kufikiri yana madhara makubwa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.