Kuna ulazima wowote wa kusomesha mtoto chekechea kwa Milioni 4?

CHIBA One

JF-Expert Member
Nov 16, 2018
560
2,087
Ukiangalia Mfumo wa Elimu yetu ya leo, upatikanaji wa Ajira, na ubunifu na Uhalisia wa maisha, Na gharama za elimu kuanzia Chekechea mpaka chuo

1.Elimu ya msingi imekuwa ghari zaid kuliko hata chuo kikuu.. Ada nyingi ni mill 1 mpaka 5 kwa mtoto mdogo.

Weka swala la uwezo wa mzazi pembeni, ila jaribu kuwaza tu.. Kuna ulazima wa kulipa Ada za mill 4 mpaka 5 chekechea kwa watoto kwa sababu eti wanapata elimu bora zaid??
 
Ukiangalia Mfumo wa Elimu yetu ya leo, upatikanaji wa Ajira, na ubunifu na Uhalisia wa maisha, Na gharama za elimu kuanzia Chekechea mpaka chuo

1.Elimu ya msingi imekuwa ghari zaid kuliko hata chuo kikuu.. Ada nyingi ni mill 1 mpaka 5 kwa mtoto mdogo.

Weka swala la uwezo wa mzazi pembeni, ila jaribu kuwaza tu.. Kuna ulazima wa kulipa Ada za mill 4 mpaka 5 chekechea kwa watoto kwa sababu eti wanapata elimu bora zaid??
hakuna umuhimu huo
 
Hiyo milioni 4 igawanye kwa miezi 12, unapata ni 333,000/= kwa mwezi, gawanya kwa siku 30 unapata 10,000/= kwa siku. Hiyo 10,000/= itumike kumfuata na kumrudisha mtoto kwa school bus, hiyo hiyo itumike kumpa chai nziti ya maziwa asubuhi pamoja na msosi wa mchana, hiyo hiyo itumike kulipa walimu wa michezo, walimu wa masomo mengine, kodi ya pango na kodi za serikali pamoja na gharama za umeme, maji, taka taka na makorokoro ya walinzi nk, pia hiyo ni biashara, wanataka faida na wao watunze familia zao, kumbuka hiyo faida wapate kwenye hoyohiyo 10k yako.
 
Hiyo milioni 4 igawanye kwa miezi 12, unapata ni 333,000/= kwa mwezi, gawanya kwa siku 30 unapata 10,000/= kwa siku. Hiyo 10,000/= itumike kumfuata na kumrudisha mtoto kwa school bus, hiyo hiyo itumike kumpa chai nziti ya maziwa asubuhi pamoja na msosi wa mchana, hiyo hiyo itumike kulipa walimu wa michezo, walimu wa masomo mengine, kodi ya pango na kodi za serikali pamoja na gharama za umeme, maji, taka taka na makorokoro ya walinzi nk, pia hiyo ni biashara, wanataka faida na wao watunze familia zao, kumbuka hiyo faida wapate kwenye hoyohiyo 10k yako.
Invalid maths...toa likizo,weekend,sikukuu
 
Hiyo milioni 4 igawanye kwa miezi 12, unapata ni 333,000/= kwa mwezi, gawanya kwa siku 30 unapata 10,000/= kwa siku. Hiyo 10,000/= itumike kumfuata na kumrudisha mtoto kwa school bus, hiyo hiyo itumike kumpa chai nziti ya maziwa asubuhi pamoja na msosi wa mchana, hiyo hiyo itumike kulipa walimu wa michezo, walimu wa masomo mengine, kodi ya pango na kodi za serikali pamoja na gharama za umeme, maji, taka taka na makorokoro ya walinzi nk, pia hiyo ni biashara, wanataka faida na wao watunze familia zao, kumbuka hiyo faida wapate kwenye hoyohiyo 10k yako.
Kwahyo mtoto anaenda siku zote 30 za mwez shuleni
 
Ukiangalia Mfumo wa Elimu yetu ya leo, upatikanaji wa Ajira, na ubunifu na Uhalisia wa maisha, Na gharama za elimu kuanzia Chekechea mpaka chuo
1.Elimu ya msingi imekuwa ghari zaid kuliko hata chuo kikuu.. Ada nyingi ni mill 1 mpaka 5 kwa mtoto mdogo.
Weka swala la uwezo wa mzazi pembeni, ila jaribu kuwaza tu.. Kuna ulazima wa kulipa Ada za mill 4 mpaka 5 chekechea kwa watoto kwa sababu eti wanapata elimu bora zaid??
Dunia ni sahani lililojaa kila aina ya mazagazaga ni urefu wa mkono wako tu. Ww unahangaika na pesa ya kula, mwingine anajaza vocha ya 20,000 kwenye simu. Ww unawaza ada milion 4 kwanza watu wanadraw benki milioni 20 ya kwenda Dubai kwa ajili ya matembezi. Kwahiyo kwako hakuna ulazima ila kwa wengine kuna ulazima.
Ww unawaza wapi nitapata ajira hata ya kulipwa 5,000 kwa siku lkn kuna wengine hata hawawazi hilo. Baba anakampuni kubwa, ni kiongozi fulani au anamarafiki wengi wapo kwenye system.
NI SAWA NA YULE MSUKUMA ANASEMA WATU WAFANYE KAZI UTAFIKIRI YY NDIYO ANATOA CHAKULA
 
Utakuwa mwalimu wa hizo shule
Hiyo milioni 4 igawanye kwa miezi 12, unapata ni 333,000/= kwa mwezi, gawanya kwa siku 30 unapata 10,000/= kwa siku. Hiyo 10,000/= itumike kumfuata na kumrudisha mtoto kwa school bus, hiyo hiyo itumike kumpa chai nziti ya maziwa asubuhi pamoja na msosi wa mchana, hiyo hiyo itumike kulipa walimu wa michezo, walimu wa masomo mengine, kodi ya pango na kodi za serikali pamoja na gharama za umeme, maji, taka taka na makorokoro ya walinzi nk, pia hiyo ni biashara, wanataka faida na wao watunze familia zao, kumbuka hiyo faida wapate kwenye hoyohiyo 10k yako.
 
Ukiangalia Mfumo wa Elimu yetu ya leo, upatikanaji wa Ajira, na ubunifu na Uhalisia wa maisha, Na gharama za elimu kuanzia Chekechea mpaka chuo

1.Elimu ya msingi imekuwa ghari zaid kuliko hata chuo kikuu.. Ada nyingi ni mill 1 mpaka 5 kwa mtoto mdogo.

Weka swala la uwezo wa mzazi pembeni, ila jaribu kuwaza tu.. Kuna ulazima wa kulipa Ada za mill 4 mpaka 5 chekechea kwa watoto kwa sababu eti wanapata elimu bora zaid??
Kinachonisikitisha ni pale mtoto aliesoma hizi shule za awali kwa 4m per year baadae nae analilia mkopo ili asome SAUT au UDOM!
Shule ya chekechea au msingi alichosoma haijalishi huko mbeleni ila Chuo Kikuu ulichosoma kinaamua future ya mtoto wako.
 
Hivi ndio vitu saa nyingine vinasababisha hata mishahara haiongezwi,ukikagua utagundua wengi wa hao watoto ni wa watumishi,sasa hapa mshahara uongezwe ili iwe nini wakati kuna shughuli nyingine za maendeleo zinazohitaji pesa...!
Ukiangalia Mfumo wa Elimu yetu ya leo, upatikanaji wa Ajira, na ubunifu na Uhalisia wa maisha, Na gharama za elimu kuanzia Chekechea mpaka chuo

1.Elimu ya msingi imekuwa ghari zaid kuliko hata chuo kikuu.. Ada nyingi ni mill 1 mpaka 5 kwa mtoto mdogo.

Weka swala la uwezo wa mzazi pembeni, ila jaribu kuwaza tu.. Kuna ulazima wa kulipa Ada za mill 4 mpaka 5 chekechea kwa watoto kwa sababu eti wanapata elimu bora zaid??
 
Back
Top Bottom