Mimi nashangaa watu mnahangaika na ving'amuzi vya Azam..
But ishu kubwa saivi ni kupanda kwa mafuta ya kula yanayomgusa kila mtu..
Mwanzoni nikikuwa nachukua ndoo ya lita 20 kwa bei ya jumla kwa tsh 56k saivi ninavyozungumza ndoo ni Tsh 69k kwa bei ya jumla kwa mtu anayenunua kuanzia ndoo 5 na...
Sawa... But kuna watu wanadhani walimu wa astashahada hawana uwezo wa kufundisha watoto wao,ngoja niwaeleze kitu hakuna walimu bora kama hawa wa cheti walimu wengi wenye digree wanajiona kuwa wao ni kila kitu ko hawastahili kuwafundisha watoto wetu but angalia maprofesa wengi wamefundishwa na...
Mimi sio mwana CCM kabisa but huwa napenda mtu anapoleta post kama hii angalau kuwe na ushahidi..
Coz habari bila ushahidi zinafanya tunaochangia tuonekane hatuna akili pls wekeni habari na ushahidi ili JF iendelee kuwa bora..
Mimi sio CCM ila kwa hili la kalemani nadhani ameenda kama waziri wa nishati mstaafu na sio waziri wa nishati may be wametambua mchango wake katika ujenzi wa hilo bwawa.. but inawezekana mkeka wa mzee upo tayari ila kama kaenda kama waziri Meko anakosea vitu vingi sana asee na sijui kama ana...
yani wanatuona Watanzania ni wajinga kwa kiasi hicho kweli?!! Aliyesema mbwa amepotea sio vyombo vya habari ni huyo Kungwi lulola wakampe majibu yy shenzi kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.