Mungu yupi kwanza? Wa biblia ambae ni mbaguzi mbinafsi na mpenda uongo?(yule ambae alimlaani shetani kwa kumbwambia hawa ukweli kuhusu tunda la mti wa uzima)au Allah ambaye anapenda visasi watu wawe washirikina uzinzi na mabikira 72 peponi ambaye siku yesu akirudi yeye ndo atakuwa wa mwisho...
Mungu ni kiumbe kilichotengenezwa na hawa Caucasian ili kumtisha mtu mweusi na kumtoa kwenye tamaduni zake lakini kiuhalisia hicho kiumbe hakipo,ila huu ulimwengu unanguvu kuu ya asili yaani natural, ukifanya mema utayaona mema yakija kwako na ukifanya mabaya utayaona pia na utayalipia hapahapa...
Mandonga wewe Mandonga karimu Mandonga Leo umepigika sana yaana umechapwa hapo Kenya na wanyonyi nakuomba tena pambano la tarehe 29 na Golola usipigane nakuomba sana
Ndugu yangu huyu sio mnyanyua vyuma tu hata mikanda anayo mingi Kwa uzoefu wa huyu jamaa naona promota wamechoka kumuona Mandonga akicheza cheza jukwaani huyu Golola uwezo wake hata Dulla Mbabe hawezi kumpiga sababu nimeshashuhudia mapambano yao wakipigana na watu tofauti
Naona tangazo la mchezo wa ngumi, ([emoji3037])
Kati ya Karim Mandonga na Golola Moses kutoka pale Kampala Uganda, tarehe 29 mwezi huu wa July, Kwa kifupi promota anayeandaa hili pambano pamoja na Mandonga mwenyewe aliyekubali hili pambano ni kwamba hawana akili.
Golola Moses ni bondia mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.