Recent content by Kichaa Msafi

  1. Kichaa Msafi

    Andrew Nyerere: Ukimpa mtoto peremende hakikisha anamsifu na kumshukuru Mungu

    Mungu yupi kwanza? Wa biblia ambae ni mbaguzi mbinafsi na mpenda uongo?(yule ambae alimlaani shetani kwa kumbwambia hawa ukweli kuhusu tunda la mti wa uzima)au Allah ambaye anapenda visasi watu wawe washirikina uzinzi na mabikira 72 peponi ambaye siku yesu akirudi yeye ndo atakuwa wa mwisho...
  2. Kichaa Msafi

    Nashughulikia mambo mbalimbali Dodoma bila wewe kulazimika kufika hapa

    Vipi kama mtu anahitaji passport unamshughulikiaje?
  3. Kichaa Msafi

    Umewahi kukutana na watu wa ajabu kwenye maisha yako? Walikuwa watu wa aina gani?

    Kwa nini umetumia picha yangu bila ridhaa yangu? Naomba ufute!
  4. Kichaa Msafi

    Je, umewahi kubadili mtazamo juu ya kitu fulani ambapo hapo awali uliuamini sana? Kwanini?

    Mungu ni kiumbe kilichotengenezwa na hawa Caucasian ili kumtisha mtu mweusi na kumtoa kwenye tamaduni zake lakini kiuhalisia hicho kiumbe hakipo,ila huu ulimwengu unanguvu kuu ya asili yaani natural, ukifanya mema utayaona mema yakija kwako na ukifanya mabaya utayaona pia na utayalipia hapahapa...
  5. Kichaa Msafi

    Promota mnataka Mandonga afie ulingoni?

    Mandonga wewe Mandonga karimu Mandonga Leo umepigika sana yaana umechapwa hapo Kenya na wanyonyi nakuomba tena pambano la tarehe 29 na Golola usipigane nakuomba sana
  6. Kichaa Msafi

    Promota mnataka Mandonga afie ulingoni?

    Chief Mimi sipo humu kutishia mtu ila naongea uhalisia
  7. Kichaa Msafi

    Promota mnataka Mandonga afie ulingoni?

    Hazizid round 2
  8. Kichaa Msafi

    Promota mnataka Mandonga afie ulingoni?

    Kabisa ilifika kipindi mabondia Uganda walikuwa hawataki kupigana na huyu jamaa
  9. Kichaa Msafi

    Promota mnataka Mandonga afie ulingoni?

    Ndugu yangu huyu sio mnyanyua vyuma tu hata mikanda anayo mingi Kwa uzoefu wa huyu jamaa naona promota wamechoka kumuona Mandonga akicheza cheza jukwaani huyu Golola uwezo wake hata Dulla Mbabe hawezi kumpiga sababu nimeshashuhudia mapambano yao wakipigana na watu tofauti
  10. Kichaa Msafi

    Promota mnataka Mandonga afie ulingoni?

    Chief huyu jamaa sio anatisha tu hata jukwaani ni mzima sana jaribu kupitia wasifu wake
  11. Kichaa Msafi

    Promota mnataka Mandonga afie ulingoni?

    Naona tangazo la mchezo wa ngumi, ([emoji3037]) Kati ya Karim Mandonga na Golola Moses kutoka pale Kampala Uganda, tarehe 29 mwezi huu wa July, Kwa kifupi promota anayeandaa hili pambano pamoja na Mandonga mwenyewe aliyekubali hili pambano ni kwamba hawana akili. Golola Moses ni bondia mkubwa...
Back
Top Bottom