Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 3,350
- 6,419
Mmhh hapa litakufa jitu😁😁Naona tangazo la mchezo wa ngumi, ()
Kati ya Karim Mandonga na Golola Moses kutoka pale Kampala Uganda, tarehe 29 mwezi huu wa July, Kwa kifupi promota anayeandaa hili pambano pamoja na Mandonga mwenyewe aliyekubali hili pambano ni kwamba hawana akili, Golola Moses ni bondia mkubwa sana pale Uganda japo alianzia kwenye Kik boxer, hata Dulla Mbabe hawezi kumpiga Golola, wajaribu kupitia upya wasifu wa Golola. Mandonga usipokataa pambano hili ndo unaenda kuwa mwisho wako kucheza tena jukwaaniView attachment 2692468View attachment 2692469
)
