Habari za leo wananzengo!?
Ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya. Leo ningependa kutoa mtazamo wangu wa kiroho juu ya taifa hili teule la Mungu. Taifa lenye misingi ya utu na umoja. Taifa lililobarikiwa kwa kila aina ya baraka, ardhi, watu wapole, mimea, madini, mito, wanyama, milima, maji...