Marekani ni mpuuzi tu.Huyo huyo kapiga mabomu kwenye kile kisiwa ambako mafuta mengi ya Iran hupakiwa,eti leo kayaruhusu mafuta ya Iran.Ni mtu hamnazo pekee anayeweza kuielewa hiyo futuhi.
Hao wasanii hawajui kusoma alama za nyakati kabisa.Wao walijua kuwa kizazi hiki cha Gen-Z kina haiba zile zile na mtazamo ule ule wa MWENGE. Wasanii hawatakuwa tena wale wale na tambo zile zile.
Huu ni muda wao sasa wa kulia njaa.
Tumia VPN inafunguka.Nina wasiwasi na kinachoendelea, yawezekana mamlaka imefanya yake, sidhani kama kutofunguka kwake kunahusiana na kukamatwa kwa Durov.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.