Recent content by Kibumbula

  1. Kibumbula

    JamiiForums Tanzania BBC: "Watengenezaji wa magari duniani wanapata shida kushindana na China"

    Wasiruhusiwe na nani tena mkuu?Wale jamaa hawazuiliki kamwe.
  2. Kibumbula

    JamiiForums Tanzania BBC: "Watengenezaji wa magari duniani wanapata shida kushindana na China"

    Vilio vimeanza kusikika gizani.
  3. Kibumbula

    JamiiForums Tanzania Moore's Law vs Tao Law. China kupitia Huawei inaleta mbinu mpya za kuunda chips za hali ya juu zaidi

    Kwa speed Ya Cheetah,mwamba ana-take over na kugeuza watu walilodhani haliwezekani upside down.
  4. Kibumbula

    JamiiForums Tanzania US: Tumeiruhusu meli za mafuta ya Iran kupita katika mlango wa Hormuz

    Marekani ni mpuuzi tu.Huyo huyo kapiga mabomu kwenye kile kisiwa ambako mafuta mengi ya Iran hupakiwa,eti leo kayaruhusu mafuta ya Iran.Ni mtu hamnazo pekee anayeweza kuielewa hiyo futuhi.
  5. Kibumbula

    JamiiForums Tanzania US: Tumeiruhusu meli za mafuta ya Iran kupita katika mlango wa Hormuz

    Yaani hao jamaa ni kama vile futuhi.Full vichekesho.
  6. Kibumbula

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mahitaji ya nyakati, harakati za Gen Z vimewafubaza wasanii

    Hao wasanii hawajui kusoma alama za nyakati kabisa.Wao walijua kuwa kizazi hiki cha Gen-Z kina haiba zile zile na mtazamo ule ule wa MWENGE. Wasanii hawatakuwa tena wale wale na tambo zile zile. Huu ni muda wao sasa wa kulia njaa.
  7. Kibumbula

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NO REFORMS NO ELECTION
  8. Kibumbula

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    🙏🙏💯
  9. Kibumbula

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa Telegram Tanzania una shida gani?

    Tumia VPN inafunguka.Nina wasiwasi na kinachoendelea, yawezekana mamlaka imefanya yake, sidhani kama kutofunguka kwake kunahusiana na kukamatwa kwa Durov.
  10. Kibumbula

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wa zamani wa Ricado Kaka afunguka sababu za kumsaliti mume wake, adai utakatifu wa Kaka kwake ulimboa

    Sometimes wanawake inatulazimu kuwatendea sivyo.Kuwadanganya,kuwapiga kidogo,kuchepuka na umafia mwingine.Wakati tunawatendea hayo,wao kimoyo moyo hufurahia,wanaona kweli wana wanaume thabiti.Kujifanya wana kondoo kwetu kunawachosha wanawake. Hutakiwi kuwa 💯 perfect kwa mwanamke yeyote yule.
  11. Kibumbula

    JamiiForums Tanzania HUWAWEI yarudi kwa kishindo, jarida maarufu la Bloomberg la Marekani lakiri

    Hii ndio maana ya mechi kali [emoji23][emoji23][emoji120][emoji120]
  12. Kibumbula

    JamiiForums Tanzania China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

    Anajiandaa kuanza kuitumia Os yake ya Harmony NEXT kama sikosei mwakani kwenye huduma zake zote,yaani kwenye Ecosystems ya vifaa vyake vyote.
  13. Kibumbula

    JamiiForums Tanzania China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

    Hiyo kirin 9006c inaanza kutumika kwenye laptop yake mpya Qingyun L420.
Back
Top Bottom