Recent content by kibuluzo

  1. K

    Nyumba zinapangishwa jijini mbeya, mtwara na dar es salaam.

    Mimi nahitaji nyumba mikocheni, vyumba vitatu vya kulala self yakueleweka bei isizidi one million per month. Namba yangu ya cm ni 0755 214 620
  2. K

    Vitz inahitajika

    Nikupe namba b kwa 7 mil?
  3. K

    JPM: Walipe Wastaafu EAC

    Kwa kweli inasikitisha, Mimi baba yangu alistaafu 1979, mpaka leo hatujalipa kama sio dhuluma ni nini? Wakati pesa ilitolewa na wenzetu nchi jirani walilipwa bila shida yoyote.
  4. K

    Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

    Wengi wanaficha aibu
  5. K

    Nape Nnauye anataka nife na ndoto zangu

    Kwa hiyo unataka kuniambia kwamba amekurupuka?
  6. K

    Kiwanja kinauzwa, kipo Goba Kinzudi, ukubwa 30m x 35m

    Pia ninacho kizuri kipo Kivule Chakenge, karibu inapojengwa hospitali ya wilaya ya Ilala, kina ukubwa wa hatua 35 kwa 30 bei 8.5mil. Kama unahitaji nipigie 0755 214 620
  7. K

    Kajipu uchungu

    Unaweza kuwa hauzi, anakuja mwenye
  8. K

    Mange Kimambi vs Le Mutuz katika Beef Zito kisa Dr. Mwaka

    Mbwa ukimjua jina hakusumbui
  9. K

    Faiza: Ushindi wa Sugu hauna faida kwangu

    Faida Inapaswa waipate wananchi waliomchagua na sio yeye. Hapa kazi tu, aaala
  10. K

    Natafuta kiwanja Goba

    Umesema meta 1500-2000 unajua maana yake, au hujui vipimo?
  11. K

    Plot for sale: kitunda Magore kwa Mpemba

    Mwisho kabisa 7.5m, ukiuona huchomoki
  12. K

    Natafuta kiwanja Goba

    Ushapata boss, tafadhali nijulishe
  13. K

    Nyumba ya kutosha familia inapangishwa Vituka Jet Lumo ( Nyuma ya Airport)

    Safi Mzee, Mimi si mteja, Bali nakutafutia mteja fasta siunajua mambo ya mjini! Au unasemaje?
Back
Top Bottom