Kajipu uchungu

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,790
1450329219467.jpg
 
Kwa kuwa sasa hivi Elimu ni bure hii hali haitakuwepo tena kwa sababu kila mtu atajua kusoma na kuelewa kilichoandikwa.
 
Mmoja alisema biashara ni ile yenye kodi TRA hizi za ushuru wa mgambo Halmashauri ni uchuuzi, tangazo lilipaswa kusema biashara na uchuuzi haviruhusiwi hapa, ukikamatwa faini 50,000/- nusu ni ya atakayekukamata
 
Anaweza akawa anachoma tu mahindi then anagawa bure, sio biashara / au anapeleka kuuza sehemu nyingine hivyo hilo tangazo not applicable!
 
Anaweza akawa anachoma tu mahindi then anagawa bure, sio biashara / au anapeleka kuuza sehemu nyingine hivyo hilo tangazo not applicable!
Kiongozi, hii imekaa kibiashara zaidi na hapo ni barabarani.

Ingekuwa anapeleka kuuza sehemu nyingine angeyachomea hata uwani kwao na sio hapo barabarani
 
Back
Top Bottom