Niipongeze kamati na halmashauri kuu ya Chadema kwa kufanya kampeni za kiungwana, za kistaarabu ndio democrasia ilivyo. Kwa ccm nadhani kushindwa kwenu ni matokeo ya ubabe unaofanywa na viongoz wao kimkoa akiwemo Mkuu wa Mkoa Arusha Magesa mulongo na wengneo. Pia akna Mwigulu ni 7babu 1wapo ya...
Kiongozi mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Freeman Aikaeli Mbowe ameitaka serikali isijisumbue kuunda tume, wala kupoteza hizo fedha za walipa kodi kwa kumtafuta mlipuaji, yeye amewakabidhi taarifa na ushahidi wa picture halisi jnsi ilivyokuwa. Nape atudhibitishie jinsi hawa waliofariki...
I belive that even a hour you can get realy picture of the phenomenor which happened few minites ago. Sasa una complain kitu gan? Tatizo lenu Mnaojiita Watanganyika wa kileo mnaona mbele lakini hamuangalii mbali. Mmekaririshwa tukio lolote likitokea ni lazima liundiwe tume ikae miezi,miaka ndo...
Hivi watu wa kaskazini kuna shida gani manake mafisadi wote wanaishambulia sana kaskazini hasa Arusha to Killimanjaro. Ndio mikoa pekee ambayo viongozi wake wabunge hushambuliwa kama magaidi mabomu kibao yenye madhara mi nadhani huenda wakaanza kudai na wenyewe wawe na serikali yao na nchi yao.
Ungekuwa wewe Ndio kiongozi wa upinzani labda ungefanyaje? Yaani janga la kitaifa litokee then mkakae mnazunguka kwenye vit badala yakuangalia huyu mdudu anayeitafuna democrasia na kuua watu anadhibitiwa kabla hawajasambaa. Toa maoni, usilaumu kijana.
Ni kwamba watanzania wamechoka na ubabe dhidi ya watawala wao, wamechoka na umasikini mkubwa wakati nchi hi ina maliasili za kutosha, wachache wamekuwa wakitumia kodi zetu kwa kupeleka watoto wao nje kusoma na kuagiza suti japan, ltaly, franch, dubai n.k
Kwa mujibu wa mtoto aliyeshuhudia tukio hilo, anasema aliwaona watu wamekuja na gar then wakarusha kitu ndipo moto ukalipuka, na wao wakatimua mbio? Hivyo tusubiri FBI wakiingia watachora katuni fasta na tutawapata
Mzee Mrema ulikuwa wapi? Yaani huko bungeni hatukusikii kabisaab? Sijajua tatizo ni nini? Mrema wa leo sio kama wa zamani? Mrema wa 95 alikua akikohoa wananchi wameshahoji kuna nini,akienda vjijini anawekewa kanga chini anapita? Lakini leo wananchi wanamashaka na uwepo wake bungeni? Yupo kwa...
Wakati Bunge Letu likiendelea huko Dodoma, yameibuliwa mambo mbalimbali kutoka kwa wapinzani wetu CHADEMA dhidi ya majangili ya rasilimali za nchi hii hasa tembo ambao ndio walionekana kutoweka kabisa. Kusema kweli hawa CHADEMA walijipanga. Mimi ni CCM pure lakini niwe muwazi yaliyosemwa na Mch...
Kwanza mwenyekiti wa kikao Jenister Mhagama amekuwa bora kuliko Job Ndugai na Mkuu wake, nasema hivi kwasababu amejitahidi kubalance mambo licha ya kwamba kunawakati aliteleza lakini kiukweli kajitahidi. Yaliyosemwa na Mch. Petter Msigwa kwa mwenye akili ya kufikiri amegonga sehemu ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.