Ndo hivyo hata mimi nilipata shida sana kuipata hiyo doc maana sehemu nyingi sana ilikuwa inazuiliwa kuipakua. Mpaka jana nikamuomba mwenyewe ndo akanitumia link.
Hii documentary inaelezea kwa kina namna mgogoro wa Ukraine tangu miaka ya nyuma na nani huwa ndio wapo nyuma yake. Humu wamehojiwa Maraisi na Viongozi wa juu ambao wamewahi kuiongoza serikali ya Ukraine na kupinduliwa. Hii video imekuwa-banned kwenye Social Media mbalimbali. Kwenye hii video...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.