Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
Wanaopiga pesa ni maCCM👇
Tunanunua ndiyo!! Zile chanjo milioni moja ndo tulipewa bure na marekani kama chambo!! Baada ya hapo ni pesa! Mpango wa covax si bure kwa maana ya bure!!Hivi zile chanjo tunazoletewa huwa tunanunua?
Hyo Barabara Kuna upigaji mkubwa Sana
Kwa kiasi kikubwa nchi za mabeberu ni maskini wa maliasili!! Kwa hiyo wamekuja na mkakati wa kuhakikisha wanatumia corona kuvuna mabilioni muda wote toka nchi zingine!! Wanatengeneza mawimbi bandia ya corona ili kuhakikisha chanjo zinakuwa bidhaa ya kudumu.
Kwa sasa Uingereza imetangaza kuwa chanjo ya corona booster ni kila baada ya miezi 3 kwa watu wote kuanzia miaka 12 na kuendelea!! kwa vyo vyote vile hili jambo halitekelezeki kwa nchi zetu hizi, au labda uamue kila pesa unayopata inunue chanjo tu. Ukifanya hivyo tayari unawafanya watu kuwa watumwa wa kufanya kazi ili kipato kinachopatikana kipelekwe kwa mabeberu kulipia chanjo!! JPM alisema nooooo!!! na watanzania tulimwelewa!! Kutuambia vinginevyo na ngonjera za barakoa ni kutwanga maji kwenye kinu!! Endeleeni kina-akwilapo labda mtafanikiwa kuyatwanga maji kwenye kinu!!
Dalali wa chanjo huyu Sasa.Vyama pinzani Dunia nzima walivunaHadi sasa tumeshatumia kiasi gani cha pesa kununua chanjo?
Mengine haya kwao Chatto.
Makunduchi hawawezi kuukubali utopolo kabila hii tena.
Tunanunua ndiyo!! Zile chanjo milioni moja ndo tulipewa bure na marekani kama chambo!! Baada ya hapo ni pesa! Mpango wa covax si bure kwa maana ya bure!!