Ndo aingie ukumbini bila kusachiwa au aingie na troops bila kusachiwa.Homoud alikua ni high ranked Soldier, na vilevile alikua ni Shemegi wa Karume, Dada yake alikua ni mke wa Mzee.
ndo aingie ukumbini bila kusachiwa au aingie na troops bila kusachiwa.
Hata ingekua mwaka 1800 huwezi kuinga kwa kiongozi wa nchi hata kama ni ndugu yako ukawa na silaha za kivita... Ulinzi haujaanza leo tangu enzi za machifu huko ulikuepoMkuu hiyo ilikua ni 1972, usilinganishe na mazingira ya sasa
hata ingekua mwaka 1800 huwezi kuinga kwa kiongozi wa nchi hata kama ni ndugu yako ukawa na silaha za kivita... Ulinzi haujaanza leo tangu enzi za machifu huko ulikuepo
Dubai, UAE
Simulizi za mhanga wa mapinduzi Mzee Aman Thani toka
Jaha Ubwa alipokua gerezani Zanzibar watu wa Makunduchi wakamkejeli; "Tulipotaka kusali Ijumaa ukatukataza na ukasema dhambi zenu leo nitazichkua mimi." Jaha Ubwa alilia machozi.
Mzee Aman aliyepata kupelekwa gerezani akiwa na wenzie wengi kina Mdungi Ussi, Jimmy Ringo, Jaha Ubwa , Mzee Mbaba, Alhalifa Misry...Hashim Bahruan , Saleh Master ..
Source : MzeeBarwani
Humud alikuwa rafiki wa Karume sn akiingia humo ukumbini kupiga story km kawaidaHivi Hamoud na wenzie waliingia vipi ukumbulini na kuanziaha mashambulizi ,ilihali ulinzi ulianzia nje ya ukumbi mpaka ndani alipo Mzee.
Kisasi. Baba wa Humud aliuliwa mapunduziNia ya mauaji ilikua nini, hii nimeitafuta sijaiona. Au walitaka kufanya mapinduzi mengine
Umenikumbusha Kwa ba mkwe na 'Kumbakumba' kwenye kitabu cha HainiMmejuaje kazi yake na cheo chake, kwamba ni Koplo, kama hamjui ni nani mpaka leo ?
Na ni tume gani au mahakama gani ilichunguza mauaji na kutoa hizo nadharia za kifo, vyanzo vyako ni nini?
Na Mungu amlaze pema peponi mpendwa wetu Abeid Karume, mpendwa wetu wewe na nani?
Karume alimuua baba yake Umudi aliyekuja kulipiza kisasi, Karume alimuua Makamu wa Rais Kassim Hanga, Karume alimuua balozi wa Tanzania Marekani na Waziri wa Elimu Othman Sharrif, na wengine leke leke walitupwa baharini wamefungwa mgongoni mizigo ya mawe, waliteswa na vikosi katili vya bwana Mandera kwenye jela ya Bamkwe...mikono ya Karume imejaa damu.....
Tumedanganywa mashuleni, tulikuwa watoto, na ukubwani pia mtudanganye ? Hell freaking no. Alazwe pema peponi mpendwa wetu Abeid Karume, mpendwa wetu wewe na nani ? Rote in hell.
Hii mkuu nilisoma katika makala ya Joseph mihangwa kwamba kilikuwa kifo cha kisasi na ndio maana alikufa kama hakukuwa na walinzi kwani walifahamiana sana na muuaji. Alimsomesha na almchukulia kama mwanae kumbe jamaa alishaapaga kulipa kisasi.Mmejuaje kazi yake na cheo chake, kwamba ni Koplo, kama hamjui ni nani mpaka leo?
Na ni tume gani au mahakama gani ilichunguza mauaji na kutoa hizo nadharia za kifo, vyanzo vyako ni nini?
Na Mungu amlaze pema peponi mpendwa wetu Abeid Karume, mpendwa wetu wewe na nani?
Karume alimuua baba yake Umudi aliyekuja kulipiza kisasi, Karume alimuua Makamu wa Rais Kassim Hanga, Karume alimuua balozi wa Tanzania Marekani na Waziri wa Elimu Othman Sharrif, na wengine leke leke walitupwa baharini wamefungwa mgongoni mizigo ya mawe, waliteswa na vikosi katili vya bwana Mandera kwenye jela ya Bamkwe mikono ya Karume imejaa damu.
Tumedanganywa mashuleni, tulikuwa watoto, na ukubwani pia mtudanganye? Hell freaking no. Alazwe pema peponi mpendwa wetu Abeid Karume, mpendwa wetu wewe na nani? Go burn in hell.
Ni kweli kabisa, Karume na Umudi walikuwa wanajuana, I mean, Wazanzibar wote wanajuana, nusu yao ni ma cousins anyhow. Kwa saab ka Zanzibar kenyewe ni kadogo kuliko Mbagala Kizuiani.Hii mkuu nilisoma katika makala ya Joseph mihangwa kwamba kilikuwa kifo cha kisasi na ndio maana alikufa kama hakukuwa na walinzi kwani walifahamiana sana na muuaji. Alimsomesha na almchukulia kama mwanae kumbe jamaa alishaapaga kulipa kisasi.
Sultan akihojiwa alijisikaje baada ya Karume kuuwawa? Anasema"I was delighted to hear that the dictator is gone"Mmejuaje kazi yake na cheo chake, kwamba ni Koplo, kama hamjui ni nani mpaka leo?
Na ni tume gani au mahakama gani ilichunguza mauaji na kutoa hizo nadharia za kifo, vyanzo vyako ni nini?
Na Mungu amlaze pema peponi mpendwa wetu Abeid Karume, mpendwa wetu wewe na nani?
Karume alimuua baba yake Umudi aliyekuja kulipiza kisasi, Karume alimuua Makamu wa Rais Kassim Hanga, Karume alimuua balozi wa Tanzania Marekani na Waziri wa Elimu Othman Sharrif, na wengine leke leke walitupwa baharini wamefungwa mgongoni mizigo ya mawe, waliteswa na vikosi katili vya bwana Mandera kwenye jela ya Bamkwe mikono ya Karume imejaa damu.
Tumedanganywa mashuleni, tulikuwa watoto, na ukubwani pia mtudanganye? Hell freaking no. Alazwe pema peponi mpendwa wetu Abeid Karume, mpendwa wetu wewe na nani? Go burn in hell.
Kile cha KWAHERI UKOLONI,KWAHERI UHURU wameongelea haya yoteVitabu vya Historia mashuleni havisimulii haya for reference
Si ndio yule walimtimua na kumuita mwarabu...Kile cha KWAHERI UKOLONI,KWAHERI UHURU wameongelea haya yote
Kikitumika kwenye mtaala upiKile cha KWAHERI UKOLONI,KWAHERI UHURU wameongelea haya yote
Mkuu naomba tufafanulie kidogo jinsi hao viongozi walivyopotea nasi tupate faidaMambo ya ki-Magu ? Magu ni malaika wa bwana mbele ya Karume...
Magu kampoteza Ben Saa Nane, inasemwa, hatuna hakika
Karume kawapoteza mawaziri wazi wazi... Mabalozi wa Nyerere... Karume kampoteza Vice President! Kassim Hanga, who was he, Vice President no less...
baba Humudi, a true blue Zanzibar revolutionary, aliwekwa kwenye gunia, gunia likaburuzwa kwenye kokoto huku linatandikwa fimbo, wakamtoa roho. Kisa? Alihoji mikopo ya Karume na deni la Taifa, for all we can think of. Mtoto kaja kutafuta haki kwa njia anazozijua yeye, halafu wanatuambia Karume aliuliwa na wapinga mapinduzi, get the hell outta here...