Recent content by kiboromgogo

  1. kiboromgogo

    Kura nyingi vijijini ni za Lowassa au Magufuli?

    Pumba za Mpumbavu.
  2. kiboromgogo

    Majina ya Walioteuliwa kugombea Ubunge, Uwakilishi na Viti Maalum CCM katika Uchaguzi 2015

    Mwaaaaaannnnnzzzzzaaaa hooooyyyyeeee. Naona CCM imejipanga kurudisha majimbo yooooote. Bravo CCM
  3. kiboromgogo

    Hii yaweza kuwa sababu ya CHADEMA kumkubali Lowassa

    Hao babaako na mamaako km si mburura ni ndooorooobo tu.
  4. kiboromgogo

    Dr. Slaa: Natishwa

    Huo ndio uzalendo.
  5. kiboromgogo

    Makosa makubwa ya kiufundi ya 'Kampeni' za Magufuli

    Naendelea kuwataka muweke akiba ya maneno. Jamani Oktoba sio mbali.
  6. kiboromgogo

    Mbowe augua ghafla, awahishwa Muhimbili

    Mungu na amponye haraka ili ashuhudie kitakachompata Oktoba. Dhambi ya rushwa haiwezi kumuacha hivihivi.
  7. kiboromgogo

    Fred Mpendazoe: Lowassa tusamehe tuliokuhukumu, nikiwamo mimi!

    Mijeredi yao kwenye sanduku la kura 25.10.2015 watakiona cha mtema kuni.
  8. kiboromgogo

    Fred Mpendazoe: Lowassa tusamehe tuliokuhukumu, nikiwamo mimi!

    Nashauri Mpendahela asubiri Oktoba baada ya uchaguzi ndipo akamuombe radhi EL kwa kuchukua hela zake na urais akaukosa.
  9. kiboromgogo

    Fred Mpendazoe: Lowassa tusamehe tuliokuhukumu, nikiwamo mimi!

    Jamani eheee... tutajaziana nyaraka na majibizano yasiyo na tija kwenye simu zetu. Lakini ukweli utabaki kuwa ukweli kwamba Pesa inaongea ...money talks. Hapa Mpendahela keshapata mgawo ktk 10bn.
  10. kiboromgogo

    Najuta kutongoza wanawake wa Dar!

    Pumbv.... wewe miaka 60 size yako. Kwani ulitembea na watoto wa shule ili iweje. Nipe adress yamo uliopo niwalete polis ss hv.
  11. kiboromgogo

    Hataki kabisa tutumie Condom

    Bwana Issa mshauri mkapime ili mbanjuane vizuri zaidi.
  12. kiboromgogo

    Kashfa nyingine ya Mbowe: Kumbe Juma Duni Haji hajakabidhiwa kadi ya CHADEMA

    Mnyukano humu ndani mwisho wake 25.10.2015. Kidume atajulikana....nakopa maneno ya Zittto....wekeni akiba ya maneno.
  13. kiboromgogo

    Kwa kauli ya Kikwete ya leo, Kuna kila dalili ya kuipeleka nchi vitani

    Msituaminishe wa TZ kwamba ushindi ktk uchaguzi ni kwa kupigana. Mwaka huu hapigwi mtu maana kuna kila dalili kwamba atakayeshinda atashinda kwa ushindi Mkubwa sana kiasi kwamba mshindwa ataona hata aibu kupinga matokeo. Hata akijidai kuyakataa matokeo walimwengu watamshangaa.
  14. kiboromgogo

    Sometimes kumweka msichana friendzone kuna raha yake

    Hokoyokoooo. Nini faida yake haswaaa?
Back
Top Bottom